Habarini Wana JF,
Mimi nlikua nafanya kazi taasisi Fulani hapa Tanzania kwa bahati mbaya ikafutwa na maelekezo yakaja kwamba stahiki zetu tutapata baada ya Mkurugenzi wa RITA kukamilisha ufilisi na Sasa alishakamikisha na tukapewa fomu za kusaini tulipwe stahiki zetu ,Ilikua ni mwezi wa kwanza...
Asante, lakini Mimi nahitaji wale tu ambao wanahusika mule ndani ya kiwanda pekee yaani wanaofanya KAZI ya uchataji wa maziwa tokea yatoke shambani mpaka yanafungwa kwenye vifungashio tayari Kwa kuuzwa, lakini dereva yeye husubiri mchakato ukamilike ndani ya kiwanda ndiyo asafirishe, Mimi...
HABARINI
Ninashida ya kujua nafasi za kazi zinazopatikana kwenye kiwanda cha kusindika maziwa mfano benki kuna afisa mikopo na wenge. Je, kwenye kiwanda cha maziwa ni nafasi gani zipo?
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.