Naongezea1. HR
2. Wataalamu wa usindikaji chakula
3. Mafundi wa makenika(mashine)
4. Madereva
5. Manunuzi na wagavi
6. Maafisa usafirishaji
7. Nk
Asante, lakini Mimi nahitaji wale tu ambao wanahusika mule ndani ya kiwanda pekee yaani wanaofanya KAZI ya uchataji wa maziwa tokea yatoke shambani mpaka yanafungwa kwenye vifungashio tayari Kwa kuuzwa, lakini dereva yeye husubiri mchakato ukamilike ndani ya kiwanda ndiyo asafirishe, Mimi nahitaji wale was ndani pekee1. HR
2. Wataalamu wa usindikaji chakula
3. Mafundi wa makenika(mashine)
4. Madereva
5. Manunuzi na wagavi
6. Maafisa usafirishaji
7. Nk
Mkuu ukisema hivyo ina maana unamsemea mtaalam wa usindikaji chakula na machine operatorAsante, lakini Mimi nahitaji wale tu ambao wanahusika mule ndani ya kiwanda pekee yaani wanaofanya KAZI ya uchataji wa maziwa tokea yatoke shambani mpaka yanafungwa kwenye vifungashio tayari Kwa kuuzwa, lakini dereva yeye husubiri mchakato ukamilike ndani ya kiwanda ndiyo asafirishe, Mimi nahitaji wale was ndani pekee
Mkuu ukisema hivyo ina maana unamsemea mtaalam wa usindikaji chakula na machine operator na mtu wa quality assuranceAsante, lakini Mimi nahitaji wale tu ambao wanahusika mule ndani ya kiwanda pekee yaani wanaofanya KAZI ya uchataji wa maziwa tokea yatoke shambani mpaka yanafungwa kwenye vifungashio tayari Kwa kuuzwa, lakini dereva yeye husubiri mchakato ukamilike ndani ya kiwanda ndiyo asafirishe, Mimi nahitaji wale was ndani pekee
Naomba kujuwa! Una kiwanda? Au lengo la kujua haya ni nini?Asante, lakini Mimi nahitaji wale tu ambao wanahusika mule ndani ya kiwanda pekee yaani wanaofanya KAZI ya uchataji wa maziwa tokea yatoke shambani mpaka yanafungwa kwenye vifungashio tayari Kwa kuuzwa, lakini dereva yeye husubiri mchakato ukamilike ndani ya kiwanda ndiyo asafirishe, Mimi nahitaji wale was ndani pekee