inategemea juzii nilitaka kuapply nafasii za kazi TANAPA kupitia PSRS waliweka kigezo umri isizidi miaka 25,,,,Mimi Nina miaka 25 na miezi 2 ila ilinigomea kwamba umri umezidii
Sikiliza unachoambiwaa acha kuwa lijinga lijinga na kuwa kama vile hujielewii,ww Kila siku unaambiwa huna akilii hushtukii tuu uende mirembe kabla kichaa hakijapanda zaidii??
Unamaanisha Nini mkuu na hivyo vitu sijawahii kuvifanya ndio maana nikaandika mapema ili mtu anaponishaurii ajuee kabisaa kwamba tatizo langu halitokanii na hivyo vitu ambavyo mara nyingi ndivyo vinavyosabababisha
Acha ujinga wewe kama huwezii kushaurii chchte ni Bora ukaacha kuonyesha watu ni njisi gani ulivyo mjinga mbona hayo Mambo umeongea kama vile ni mambo ya kawaidaa saana labda nikuambie sijawahii hata kufikiria au kuwaza Upumbavu na laana kama hizo
Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa...
Achana naye wewe unahisii mleta mada ana akili timamu huyo!!!!!,,Mtu mwenye akili timamu kabisaa hawezii kuwaza anachowaza mleta mada na ndio vijana wengii wa Tz wako hivyo sijuii sisi watanzania alituroga nani hadii kuwa na watu wapumbavu wanaojalii matumbo Yao tu na Sio kujalii wenzao yaanii...
Hivii hauna ndugu yeyote au hata jiranii akupeleke mirembee ukachekii afya maake kila siku wewe unapost upumbavuu tuu,Sasa mfano kama hapo wewe chawa umeandika hoja ganii hapo??,wewe haupo Sawa kisaikolojia kwa bahatii mbaya zaidii haujui kuwa ulishagakuwa kichaa Mimi nawalaumu Sana ndugu zako...
Habarii Wanajf, Mimi ni Mhitimu wa level 3 VETA mwaka 2023.
Naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia nikapata kazi inayoendana na fani yangu hapo juu!!!
Nipo tayarii kufanya Kazi sehemu yeyote ndani ya Tanzania.
Nb: Naweza kazi na nina uzoefu wa kutoshaa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.