Habari zenu ndugu na jamaa katika jukwaa hili
Mdada wa kazi anahitajika Bububu, Zanzibar.
Majukumu yake: Kupika tu
Vigezo:
1. Awe anafaham lugha ya kiingereza. Anaowapikia wanatumia lugha ya kiingereza kama njia pekee ya mawasiliano.
2. Awe mkristu
3. Awe msafi
4. Ajue kupika vyakula mbali...
Madogo wananiliki migodi, nilimcheki mmoja alikuwa anapenda kwenda the cask bar ya mwanza, jamaa alikuwa anamwaga hela stejini siku ya live band. Mtoto mdogo tu. Kuna siku alikuwa anabattle la kununua moet na majamaa ya ggm. Aisee hiyo siku kwa mara ya kwanza nilishangaa vijana wana hela. Moet...
WAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea...
Poleni sana wakuu. Ukweli hata mimi nimesikitika baada ya mshikaji wangu kuniambia amepata nafasi lakini hakupata kwa bidii zake bali connection. Tena aliipata paper kama ilivyo, leo ndo kanichana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.