Baba mbona ungejipeleka Ata wasingekukataa? SEMA inaonekana tangu mwanzo aukulipenda jeshi ndomaanaa aukuenda, lakini ungelipenda basi ungejipeleka nawangekupokea kwa furaha na vifijo adi kumaliza kozimi kila sifa nimekidhi kasoro ya cheti cha jkt na sababu ni kipindi namaliza form 6 (mwaka 2015) walitoa majina baadhi na baadhi yetu hatukupangiwa vituo vya jkt mpaka tunajiunga na vyuo na kuhitimu.
Hii sijuh imekaaje? Imeniweka njia panda!!
Wakimaliza kufany watupe mlejesho mapema nasisi tupate experienceMungu akawe upande wenu wote mnaofanya mtihani kesho.
wana group lao kule Telegram wanasutana kwa kupeana possible sizo . huku uwaoni.Vipi pepa ilikuaje wakulungwa
wana group lao kule Telegram wanasutana kwa kupeana possible sizo . huku uwaoni.
wana group lao kule Telegram wanasutana kwa kupeana possible sizo . huku uwaoni.
No possible questions sofar
Pole sana ndugu.Ile Pepa haizingumziki.... Kikubwa tumejua kwanini hatukupata hata sample za maswali wanayotoaga, sio Kwa Pepa ile. Ni leo tu lakini maswali ninayokumbuka hayazidi 5 kati ya 33
Daah haipimiki mwanangu msiba uleIle Pepa haizingumziki.... Kikubwa tumejua kwanini hatukupata hata sample za maswali wanayotoaga, sio Kwa Pepa ile. Ni leo tu lakini maswali ninayokumbuka hayazidi 5 kati ya 33
wengine wanasema hiyo paper ilikuwa mselelekoDaah haipimiki mwanangu msiba ule
Hao watakua ndio wale "wewe nenda tu kaandike namba na jina kwenye mtihani, kisha jiaandae na Oral interview".wengine wanasema hiyo paper ilikuwa mseleleko
Pepa ilikua ya kawaida ida tatizo mda mchache. Maswali 33 for an hour ukizingatia hesabu Kama zote. All in all tumuachie MunguDaah haipimiki mwanangu msiba ule
IlaPepa ilikua ya kawaida ida tatizo mda mchache. Maswali 33 for an hour ukizingatia hesabu Kama zote. All in all tumuachie Mungu
Mkuu hujui kuedit comment yako?
Mkuu hujui kuedit comment yako?