Wakilimsomitz
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 134
- 208
Huu ugonjwa siupendi
HahahaHuu ugonjwa siupendi
Wenye nao hawazipendi hizi kauli za kuwatishatisha,UKIMWI NI KITU MBAYA SANA.
Walioathirika hawapendi hizo kauli za ukimwi mbayawapenda ngono nzembe wanachukia zaidi
Wenyewe hawapendi kuambiwa ukimwi mbaya, huelewi au?Ndio Tabia ya Ukweli ilivyo, Ukweli mchungu, Ukweli unauma mbaya sana
Ila ukimwi ni kitu mbaya zaidi, jihadhari chukua hatua ......
Mimi nipo na ninaua, Jihadharini.Kwani -UKIMWI- mwenyewe anasemaje?