7jero
Member
- Oct 8, 2021
- 46
- 46
Uongo eeh! Sawa. Ngoja nimalizie kinywaji hapa nijiandae kwa shoo ya kingkiba keshonakushangaa wewe unahanhaika sana na uongo wako , mwanaume mzima ,
Uongo eeh! Sawa. Ngoja nimalizie kinywaji hapa nijiandae kwa shoo ya kingkiba keshonakushangaa wewe unahanhaika sana na uongo wako , mwanaume mzima ,
Tulia tu, kunywa maji ulale. Najua kitaa kugumu sanamimi nakulekebisha tu ,mwanaume unajifanya mjuaji sana khaaa wewe au unajinsia 2
niagizie na mm kinywaji mkuu nakuja chapUongo eeh! Sawa. Ngoja nimalizie kinywaji hapa nijiandae kwa shoo ya kingkiba kesho
Samehanen tu maisha yaendelee tu,hakuna haja ya kulumbanamimi nakulekebisha tu ,mwanaume unajifanya mjuaji sana khaaa wewe au unajinsia 2
Hatulumbani mbona, sema pesa ikikosekana kawaida mtu kuwa mbogoSamehanen tu maisha yaendelee tu,hakuna haja ya kulumbana
yani kuna muda bwana nakuona wewe ni kama yule tapeli tulio mfukuza humu maana yupo kama wewe alianza ivi ivi ,sasa naona na wewe umeanza kuwaaminisha watu uongo wakat na wewe unasubiri kitoweo humu ili watu wakufuate pm kukuomba connection akati na wewe unauza maji ya kandoroHatulumbani mbona, sema pesa ikikosekana kawaida mtu kuwa mbogo
Mimi sina connection, hata bwana yule tumefahamiana juzi tu. Ningemfaham mapema mbona mambo yangekuwa byeee.yani kuna muda bwana nakuona wewe ni kama yule tapeli tulio mfukuza humu maana yupo kama wewe alianza ivi ivi ,sasa naona na wewe umeanza kuwaaminisha watu uongo wakat na wewe unasubiri kitoweo humu ili watu wakufuate pm kukuomba connection akati na wewe unauza maji ya kandoro
sawa mtt wa boss pccbMimi sina connection, hata bwana yule tumefahamiana juzi tu. Ningemfaham mapema mbona mambo yangekuwa byeee.
basi uwe unatoa lonja kamili sio unaleta story zako na bra bra nyingiMimi sina connection, hata bwana yule tumefahamiana juzi tu. Ningemfaham mapema mbona mambo yangekuwa byeee.
Mtoto wa boss tena?sawa mtt wa boss pccb
pote pote kama weweMtoto wa boss tena?
Alaf wewe ni me au ke? Unavijimaneno sana
Lonja sitoi maana yule aliyekuwa akinipa ndio huyo kanionya. SIWEZI NA SITAWEZAbasi uwe unatoa lonja kamili sio unaleta story zako na bra bra nyingi
embu tuongee points basi ,hayo achana nayoMtoto wa boss tena?
Alaf wewe ni me au ke? Unavijimaneno sana
Mimi?pote pote kama wewe
point za msingi haya achana nayoMimi?
Ok, nimekupata vyema kabisa mkuupoint za msingi haya achana nayo
PDF this week hii ni lonja ilio simamaOk, nimekupata vyema kabisa mkuu
Ann 056 ngoja mstaafu Cariha aje athibitishe kwanza😀😀😀😀PDF this week hii ni lonja ilio simama
carih anaumwaAnn 056 ngoja mstaafu Cariha aje athibitishe kwanza