Viongozi wa Yanga nawaomba mfanye maandalizi ya timu mapema siyo mnaleta ligi ya digital design kwani kombe linatolewa kwenye design hiyo.
Watani wetu ndo wamepaa Leo, mkileta mzaha mafanikio tutaona tu kwa jirani ambaye yuko serious.
Sisi tutachukua kombe la digital design
Habari wa bodi wa JF hususani wana michezo.
Moja kwa moja kwenye mada. Kaka GENTA uko wapi sioni maoni yako katika kipindi hiki Cha usajili klabu yetu(Simba) inasajili wachezaji wanaotoka vilabu vinavyoshuka daraja uko kimya Wala haukemei swala hili wewe ndiyo mtetezi na msema kweli pale mambo...
SOMA TATIZO NILILOWAHI KUPITIA.Ilikuwa mwaka niliishi wilaya ya Nzega for almost 1yr nkipiga kibarua Baadae mwajiri aliniamishia Tanga kwa wakati huo familia ilikuwa Dar wakati natoka Nzega nilienda kwanza Dar home Usiku wife alinipa mzigo ila mashine haikuinuka hata kidogo,asb nilijaribu tena...
Hakuna watu ambao hawachelewi kusahau matatizo yao ya nyuma Kama waTZ nakuhakikishia mpaka kufikia huo mwaka waTz watasahau kila gumu walilopitia na kura kwa sisiem tu
Hana Hela ya kununua njumu huyu mlevi Sana na mademu kwa sana
We mtoto wa juzi hujuwi njumu ila SS wazee Cha ndimu tunajua njumu ndo nn.(njumu viatu vya kuchezea mpira au six meno)
Kama huduma yake haitoki kwa Mungu ni swala la muda tu atapotea Kama wale wa Zamani lakini Kama huduma yake inatoka kwa Mungu hata Kama watampiga majungu atazidi kung'aaaaaaa
Inatakiwa ukiwa kwako asubuhi unatoka na taulo kiunoni na mswaki wako unaangalia bustani yako kuku wako na mazingira kwa ujumla halafu unapewa heshima ya baba mwenye nyumba Sasa huko gated huko mmmh wanaweza wazungu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.