Search results

  1. M

    INAUZWA Pump ya kumwagilia inauzwa

    Pump ya kumwagilia inauzwa inch 3 800000 bargain Ipo nicheki 0710881879 Nipo mwenge Dar
  2. M

    INAUZWA Dust sucker mashine inauzwa

    Wadau nauza mashine ya kutolea vumbi Niko Dar Mwenge 0710881879 Bei 80000
  3. M

    Tanzania hatuna wachambuzi

    Kwa hiyo mkuu unategemea mbwiga aende akafanye mahojIano na rahisi wa caf
  4. M

    Nawakumbusha Yanga SC kuanza maandalizi ya msimu mapema

    Viongozi wa Yanga nawaomba mfanye maandalizi ya timu mapema siyo mnaleta ligi ya digital design kwani kombe linatolewa kwenye design hiyo. Watani wetu ndo wamepaa Leo, mkileta mzaha mafanikio tutaona tu kwa jirani ambaye yuko serious. Sisi tutachukua kombe la digital design
  5. M

    Namtafuta kaka Genta aseme neno kuhusu usajili

    Habari wa bodi wa JF hususani wana michezo. Moja kwa moja kwenye mada. Kaka GENTA uko wapi sioni maoni yako katika kipindi hiki Cha usajili klabu yetu(Simba) inasajili wachezaji wanaotoka vilabu vinavyoshuka daraja uko kimya Wala haukemei swala hili wewe ndiyo mtetezi na msema kweli pale mambo...
  6. M

    Biashara ya mahindi kwa mwaka 2022

    Huwezi Pata kwa Bei hiyo kaka
  7. M

    Nguvu za Kiume - nani anafahamu TIBA ya kweli?

    SOMA TATIZO NILILOWAHI KUPITIA.Ilikuwa mwaka niliishi wilaya ya Nzega for almost 1yr nkipiga kibarua Baadae mwajiri aliniamishia Tanga kwa wakati huo familia ilikuwa Dar wakati natoka Nzega nilienda kwanza Dar home Usiku wife alinipa mzigo ila mashine haikuinuka hata kidogo,asb nilijaribu tena...
  8. M

    Vifaa vya umeme kwa bei ya jumla Dar kwa bei nafuu

    Njoo mbagala mkuu 1.5mm ni 1400-1500. 2.5 ni 2000 double socket tronic 7000 wakati sehemu zingine 1.5 ni 1800 2.5 2500
  9. M

    Watu wa Kaskazini inabidi muungane kuwaokoa wenzenu Wamasai

    Nimeona Aljazira wametoa kwenye news hour hii ishu ya lolindondo sijuwi loliondo
  10. M

    Mwaka 2025 ni kimbembe, kama wakurugenzi hawatafanya yao CCM hawatoboi. Kanda ya Kaskazini wana yao pia moyoni,masasi yamelindima

    Hakuna watu ambao hawachelewi kusahau matatizo yao ya nyuma Kama waTZ nakuhakikishia mpaka kufikia huo mwaka waTz watasahau kila gumu walilopitia na kura kwa sisiem tu
  11. M

    Imekaaje Hii, miaka yote Toni Kroos anavaa viatu Aina moja TU kila mechi?

    Hana Hela ya kununua njumu huyu mlevi Sana na mademu kwa sana We mtoto wa juzi hujuwi njumu ila SS wazee Cha ndimu tunajua njumu ndo nn.(njumu viatu vya kuchezea mpira au six meno)
  12. M

    Imekaaje Hii, miaka yote Toni Kroos anavaa viatu Aina moja TU kila mechi?

    Hana Hela ya kununua njumu huyu mlevi Sana na mademu kwa sana
  13. M

    Mchoro maarufu wa "Mona Lisa" watupiwa keki na mtalii

    Baada ya kutuletea mambo ya maana ww unaandika makolo kolo tu
  14. M

    Mtume Mwamposa: Kama kuna mahali umeambiwa ukija Kawe hatukuziki, Waambie asante sitakufa sasa

    Kama huduma yake haitoki kwa Mungu ni swala la muda tu atapotea Kama wale wa Zamani lakini Kama huduma yake inatoka kwa Mungu hata Kama watampiga majungu atazidi kung'aaaaaaa
  15. M

    Yanga kuelekea msimu mpya 2022/2023

    Piga chini Moloko.Makambo.Ushindi na yacoubson Tafuta wenye uwezo zaidi yao
  16. M

    Inside the most luxurious gated community in Dar es salaam

    Inatakiwa ukiwa kwako asubuhi unatoka na taulo kiunoni na mswaki wako unaangalia bustani yako kuku wako na mazingira kwa ujumla halafu unapewa heshima ya baba mwenye nyumba Sasa huko gated huko mmmh wanaweza wazungu tu
Back
Top Bottom