Nadhani mko salama.
Wakuu mimi ni kijana niishie Mafinga ndiko nimeajiriwa huku kitambo kidogo..Ni almost miaka yote mitatu nimekuwa nashindwa kufanya kitu hiki nachokipenda siku zote kiasi kwamba roho huwa inaniuma sana.
Mwenzenu napenda sana mazoezi hasa ya gym..lengo langu nishape kidogo...
Naimani mko buheri marafiki,
Naomba mwenye kuweza kuweka CV au taarifa za kina zitazofanya sisi wengine wa ukanda wa Afrika mashariki huku tumjue huyu bwana.Jamaa namfahamu kama msanii mwenye pesa ndefu sana na anaekubalika sanaa huko GUINEA sababu huwa naona huko u-tube anavyotrend kwa views...
Halloo..habari za weekend ndugu zanguni,
Nimeona hii nchi nyingi zenye machafuko haswaa ndipo huajiri vijana wenye umri mdogo sana katika kazi hizo nadhani ni kutokana na uwepo wa hayo machafuko haswaa nchi za kiarabu huko.
Hapa Afrika nimeona nchi kama nigeria,Somalia,na kwingine kote...
Wakuu nchi imekuwa ngumu hii nahisi kila mtu amevurugwa, imetokea jana asubuhi kuna jamaa anasemekana ni mjeda amepewa kichapo na vijana hao wenye hasira kali.
Chanzo ni baada ya bodaboda kumpeleka mjeda huyo kazini..inasemwa mjeda huyo alifika kijiweni juzi asubuhi na kumchukua boda mmoja...
Wakuu kuna ugonjwa umenianza na unanitesa miezi miwili sasa, ngozi yangu imekakamaa hata nipake mafuta vipi baada ya muda flani inapauka tena,hasa mikononi. Licha ya hivyo pia inaambatana na miwasho katikati ya vidole pia ngozi yenyewe inawasha.
Naomba kujua dawa za kutumia kutibu hili...
Wadau kwa maswali mnahoji uliza, kwanini hakuua raia na akaua Askari ni kwamba, jamaa hakulenga kuua raia yoyote ataeonekana mbele yake. Pia hakuwa na lengo la kuua askari ila aliwashambulia sababu alijua wamekuja kumzuia kufanya mission yake.
Lakini pia mnaohoji kwanini polisi walimlenga kwa...
Hallooo mambo vipi wadau wa jf,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nahitaji msichana ataekuwa tayari tujenge uhusiano ili Mungu akijaalia nimuoe.
Awe tayari kupima afya.mimi naishi mkoa wa iringa na nipo kikazi huku.
NB:picha ni id ya jf tu
Hallooo hodi humu ulimwenguni..mimi ni mfuatliaji wa jf kitambo almost miaka mitano nyuma ila kutokana na ubize na kutokuwa na mood ya kuexist kipindi hicho now nimeamua kujiregister kabisa mazima.
Bila kupoteza muda post yangu ya kwanza inaanza na lengo langu la msingi tuu. Mimi nahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.