Dogo GSM
Member
- Jul 31, 2021
- 65
- 91
Wadau kwa maswali mnahoji uliza, kwanini hakuua raia na akaua Askari ni kwamba, jamaa hakulenga kuua raia yoyote ataeonekana mbele yake. Pia hakuwa na lengo la kuua askari ila aliwashambulia sababu alijua wamekuja kumzuia kufanya mission yake.
Lakini pia mnaohoji kwanini polisi walimlenga kwa kumuua kabisa na si kumkamata ni kwamba, jamaa alikuwa na silaha mbili za kivita ambazo huwa hazirembi eneo la tukio kwenye mashambulizi hivyo polisi walijihami kulinda uhai wao sababu kutokana na ukamataji wa silaha zile ni lazima ujihami kwa kuamini yule ni jambazi sugu au gaidi hivyo waliamini kwa mazingira yale wangeremba jamaa angetoka na raia wengi au askari wengi.
Kuhusu sababu ya kutaka kufanya hayo yote ubalozini mimi na wewe hatujui. Wacha polisi wafanye kazi yao najua ndani ya wiki moja tutapata jawabu la usahihi.
Lakini pia mnaohoji kwanini polisi walimlenga kwa kumuua kabisa na si kumkamata ni kwamba, jamaa alikuwa na silaha mbili za kivita ambazo huwa hazirembi eneo la tukio kwenye mashambulizi hivyo polisi walijihami kulinda uhai wao sababu kutokana na ukamataji wa silaha zile ni lazima ujihami kwa kuamini yule ni jambazi sugu au gaidi hivyo waliamini kwa mazingira yale wangeremba jamaa angetoka na raia wengi au askari wengi.
Kuhusu sababu ya kutaka kufanya hayo yote ubalozini mimi na wewe hatujui. Wacha polisi wafanye kazi yao najua ndani ya wiki moja tutapata jawabu la usahihi.