Kama umetamani kuwa na ngozi yenye mng'ao unaweza kutumia huu mchanganyiko
Changanya
Manjano 1/2 kijiko kidogo
Maziwa kijiko 1 kidogo
Asali 1/2 kijiko kidogo
Pakaa mchanganyiko kwenye uso na shingoni. Wacha ikauke kwa dakika 20 kisha uoshe kwa maji safi.
#glowingskin #naturalskincare
Kwa kutumia vitu vya asili unaweza kubadilisha complexion ya ngozi yako.
Hii inafaa sana kama umebabuka na jua au unataka kutakatisha ngozi yako
Changanya
Turmeric 1/2 kijiko kidogo
Mtindi kijiko 1 kidogo
Juisi ya limao 1/2 kijiko kidogo
Paka mchanganyiko huu usoni hadi shingoni na uache ukauke...
Anahitajika msichana mwenye uwezo wa kufanya kazi ya mauzo na secretarial Moshi mjini.
Awe na uwezo wa kuwasiliana kwa kiingereza pia awe mchangamfu.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa namba 0657170398
Nimesoma hii article ya Wamarekani, je hali hii ipo pia katika jamii zetu.
Marriages in the US are more egalitarian these days when it comes to work, household chores, and even extramarital affairs, but that may not be good for married people's sex lives, writes Lori Gottlieb at the New York...
Natafuta kijana au msichana mwenye ujuzi wa kutumia cherehani, kijana awe muwajibikaji mwenye kiu ya mafanikio ya muda mrefu. Tafadhali wasiliana na mimi PM kwa maelezo zaidi
Natafuta kijana au msichana mwenye ujuzi wa kutumia cherehani, kijana awe muwajibikaji mwenye kiu ya mafanikio ya muda mrefu. Tafadhali wasiliana na mimi PM kwa maelezo zaidi
RAV 4, MODEL JT172SC,UK MODEL,WHITE STATION WAGON,121163KMS,PETROL,RIGHT HAND,VERY GOOD TYRES,POWERFUL CAR SUBWOOFER MUSIC.
Milioni kumi na mbili 12,000,000
PM kwa mazungumzo tafadhali
RAV 4, MODEL JT172SC,UK MODEL,WHITE STATION WAGON,121163KMS,PETROL,RIGHT HAND,VERY GOOD TYRES,POWERFUL CAR SUBWOOFER MUSIC.
Milioni kumi na mbili 12,000,000
PM kwa mazungumzo tafadhali
Leo umoja wa Wanachadema wanaoendesha siasa zao kupitia mitandao ya kijamii wamekabidhi michango yao mbele ya Viongozi wakuu wa Chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari mwakilishi wa wanachadema hao Bwana Yericko Nyerere amesema, "Mara yakwanza zilipoanza kampeni za Kalenga...
Afukuzwa hotelini, na kupigwa black list asikanyage hotelini hapo, mwenyewe adai binti alitaka kumbaka wakati alipokwenda kumtandikia kitanda.. Ahamia logde maeneo ya Pasiansi.....
More update to follow....
Nimeshindwa mtu wa kuzungumza naye kuhusu hili sababu naona linanizidi kidogo na kuni overwhelm kwa namna flani sababu limenitokea mfululizo
Namjali kila moja kwa jinsi ninavyoweza na pia huwaeshimu kwa kuwachukulia ni kwanza ni binadamu wenzangu na pia ni kama marafiki pia kwasababu mazingira...
Nimesoma just now toka blog ya *************** kuwa amekamatwa kwa mauaji yaliyotekea juzi hapo Singida, hii ni baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari
Kuna ajali kama zaidi ya tatu hapa Kongowe.
Barabara zimefunga kabisa.
Ajali ya kwanza semitrela imelalia tax watu zaidi ya watatu inasemekana wamekufa
Ajali ya pili semitrela imelalia gari tatu, foleni ya ajabu. Unbelievable! vibaka nao wamepata uwanja wa kujidai.
Salaam Wakubwa
Naomba mawazo/mchango wenu katika kufahamu upekee wa Mtanzania ukifananisha na nchi nyingine duniani katika
Mazingira tunayoishi mf mitaa na jinsi watu wanavyosurvive maisha ya mjini
Kitu gani kina wainfluence/kuwavutia waTZ zaidi na je unapokuwa na washkaji kusocialize ni kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.