Search results

  1. molely molly

    Amri saba kwa wapendao ofa

    hatareeeeeeeeee
  2. molely molly

    Taja jina la mtu ambalo ukilisikha linakuchekeshaga

    hata mimi nilisoma na demu anaitwa hermenegilda cristfa manyama duuuu jina sitalisahaaaauu
  3. molely molly

    Nahitaji sim, nina 10,000

    nina dell nauza ten fullu intanet na chagee
  4. molely molly

    display ya Samsung note2

    nichek ninacho chapuu 0684 181 262
  5. molely molly

    Pikipiki 4 zinahitajika

    ninaweza kukupa zote fecon 4 kwa milion laki tatu zote zikiwa mpya mm ni wakala nipo moshi 0684181 262
  6. molely molly

    Toyota duet

    Niko moshi nina toyota duet iko poa ninataka mlion 3 na nusu tu iko poa imeshalipiwa kila kitu wahi sasa 0767664795
  7. molely molly

    Nahitaji incubetor automatic

    Hizi za sido ni manual br
  8. molely molly

    Nahitaji incubetor automatic

    Hallo wadau mimi nipo moshi kwa sasa nina shida na mashine ya kuangulia vifaranga ninapendelea iwe ni automatic isiwe imechoka iwe na uwezo wa kuhifadhi joto kwa muda my budget iko laki 4 ifike nilipo! shukrani kwenu wadau:A S 103::amen:
  9. molely molly

    Sasa ni Lunch Time.

    makukuruuu
  10. molely molly

    Wahaya mnaojiuza!

    noshasha naiwe kwamba nobona ekyo akora nikyo!!!!!!!!!!!:wave:
  11. molely molly

    Wahaya mnaojiuza!

    iwe ni mfera kaliempali!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  12. molely molly

    International kissing styles

    majaaanga :wave:
  13. molely molly

    Nimemfumania mke wa rafiki yangu na ameniingizia zaidi ya 1,200,000/= kwa njia ya M-PESA

    wewe usirudishe hela coz kwanza utamtia hofu alikupa 70 ukakataa akamkutaftia milion thn unaleta milio cha msingi usimwambie msela kausha nunua boda boda uwe unaiangalia cha pili usiende tena kwenye magest bhana coz ndoa zina mambo pind utarudisha wanaeza hata kukutoakoromeo upite iviii kama...
  14. molely molly

    Nimemkimbia demu wangu jana, wahuni walitaka kunigegeda

    mkubwa pole sana duh ni janga ila face matokeo in advice usipende tembea na mtu unaempenda usiku with foot ni mbaya saana jamaa wanapataga advantage kubwa saana wangekutom**a mchumba ako siungejiua sijui sijui ungemuacha duh:wave:
  15. molely molly

    moshi people's only

    nimerudi tena na uzi ule ule kama kawaida ndani ya biashara ya samaki mzigo unaingia daily usisubiri mpaka madaktari wakushtue wala usingoje ndugu waje wakununulie ukiwa kitandani ninaleta samaki wote wa baharini fresh fish wako poa king fish kilo-10,000 usijali utafikishiwa ulipo wahi sasa :wave:
  16. molely molly

    Natafuta mganga wa jadi

    kwani wewe aliekwambia yeye anagonjeka nan?? amekuambia ni mjasiriamali sawa hajataja kitu amelaania amtegemeae mwanadam na kumfanya kua kinga yake na moyon mwake lazma amemuacha bwana kusulumalaa
  17. molely molly

    Otea hawa wana uhusiano gani?

    jinsia moja wote chanya:israel:
  18. molely molly

    Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

    eti wanataka shikwa pua!!!!!!!!!!!!
  19. molely molly

    Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

    hapo kweli umetisha masharti waache kwenye mikopo kuna mmoja nilikua namchezea kiuno last week jana ananiambia oh umenisababishia ugonjwa wa mapafu shenzi kabisaaaa wanawake bhana aah:israel:
  20. molely molly

    King fish

    jipatie king fish safi kabisa samaki walioko katika standard level hapa naongea na wakazi wa moshi kwa saana just wanatake one day ffrom thy water still wako in good test kilo 10,000/=only elfu kumi tu kumbuka tunakuletea ulipo:flame:
Back
Top Bottom