Hallo wadau mimi nipo moshi kwa sasa nina shida na mashine ya kuangulia vifaranga ninapendelea iwe ni automatic isiwe imechoka iwe na uwezo wa kuhifadhi joto kwa muda my budget iko laki 4 ifike nilipo! shukrani kwenu wadau:A S 103::amen:
wewe usirudishe hela coz kwanza utamtia hofu alikupa 70 ukakataa akamkutaftia milion thn unaleta milio cha msingi usimwambie msela kausha nunua boda boda uwe unaiangalia cha pili usiende tena kwenye magest bhana coz ndoa zina mambo pind utarudisha wanaeza hata kukutoakoromeo upite iviii kama...
mkubwa pole sana duh ni janga ila face matokeo in advice usipende tembea na mtu unaempenda usiku with foot ni mbaya saana jamaa wanapataga advantage kubwa saana wangekutom**a mchumba ako siungejiua sijui sijui ungemuacha duh:wave:
nimerudi tena na uzi ule ule kama kawaida ndani ya biashara ya samaki mzigo unaingia daily usisubiri mpaka madaktari wakushtue wala usingoje ndugu waje wakununulie ukiwa kitandani ninaleta samaki wote wa baharini fresh fish wako poa
king fish kilo-10,000 usijali utafikishiwa ulipo wahi sasa :wave:
kwani wewe aliekwambia yeye anagonjeka nan?? amekuambia ni mjasiriamali sawa hajataja kitu amelaania amtegemeae mwanadam na kumfanya kua kinga yake na moyon mwake lazma amemuacha bwana kusulumalaa
hapo kweli umetisha masharti waache kwenye mikopo kuna mmoja nilikua namchezea kiuno last week jana ananiambia oh umenisababishia ugonjwa wa mapafu shenzi kabisaaaa wanawake bhana aah:israel:
jipatie king fish safi kabisa samaki walioko katika standard level hapa naongea na wakazi wa moshi kwa saana just wanatake one day ffrom thy water still wako in good test kilo 10,000/=only elfu kumi tu kumbuka tunakuletea ulipo:flame:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.