WAKABAMBEE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 605
- 273
Iwe ni pande za manzese, mwananyamala, kinondoni na kwingineko, aisee mnatia aibu.
Yani mmechagua kazi zote mkaona hiyo ya kuvunja amri ya sita ndo inawafaa? Yani mnaona papuchi zenu hazina thamani mmeona mfungue na mtandao wa tigo kabisa? Hivi nyie wahaya mmetoka huko kwenu mkaona mje hapa mjini kuliwa kabang na kupozwa kwa elfu mbili?
I mean inasikitisha, jana nilikua napita Uwanja wa fisi Manzese mida ya mchana jua linachoma kabisa nikashanga wadada wadogo kabisa wamejianika barabarani, nikataka kujua kulikoni,,? jibu nililopewa ni ku-touch mia tano, mgegedo-papuchu buku na tigo ni buku mbili.
Nilitokwa na chozi nilipoambia kile ni kituo cha wahaya, na nikipita usiku ndo kwanza nitazimia.
Mimi ni Muhaya tena msomi, ila ndugu zangu mnaniabisha sana. Mnatujengea sifa mbaya sana huku mitaani. I swear naomba Mungu awalaani na mkafie mbali.
kwa taarifa yako wengi wanaigizia , lakini siyo wa kutoka huko wote, fanya tafiti zaidi , machangu doa unawaweka kundi lipi ? hawajiuzi? wale wasomi vyuoni wanaoswekwa rumande baada ya kukutwa wanaendesha biashara hiyo wote wanatoka mkoa huo?