molely molly
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 317
- 30
jipatie king fish safi kabisa samaki walioko katika standard level hapa naongea na wakazi wa moshi kwa saana just wanatake one day ffrom thy water still wako in good test kilo 10,000/=only elfu kumi tu kumbuka tunakuletea ulipo:flame: