Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

Kumfananisha mwanaume na paka halafu ukashindwa kubainisha..!

Kama unauhakika thibitisha sasa..

Kumbuka unapoongelea wanaume unagusa wote bila kumsahau Baba yako.
Kwa hivyo ninazo sababu za kutosha kukuonya juu ya hizo kauli zako!

Unataka nithibitishe mara ngapi?
habari za baba angu kuwa cheater hiyo anafaa kuiongelea mama angu sio mimi wala wewe
am toking abt wanaume I can tok about you, hivo nawe ongea kuhusu wanawake ongea kuhusu mimi
baba angu, mwanaume wangu wateme...
 
Unataka nithibitishe mara ngapi?
habari za baba angu kuwa cheater hiyo anafaa kuiongelea mama angu sio mimi wala wewe
am toking abt wanaume I can tok about you, hivo nawe ongea kuhusu wanawake ongea kuhusu mimi
baba angu, mwanaume wangu wateme...

Eve acha kubishana na huyu jamaa,hamtamaliza leo wala kesho

Ni mbishiii kweli.kweli he is always the opposite
 
Wanawake wamekuwa Mabingwa sana wa kulaumu Wanaume kwanini wanacheat sana..Na wanaamini kwamba Wanaume hawana Reason ya Kucheat maana wao wanadhani wamefanya yoteeee,sasa kwanini jamaa acheat?

Leo naleta kwenu Aina ya Wanawake ambao wao wenyewe kwa hiari,wanafanya mambo ambayo ni Greenlight kwa Mwanaume kucheat...

MASHARTI KIBAO KAMA FOMU YA MKOPO

Hawa wanawake wana misimamo yao ambayo sijui wamefundishwa na Ngariba wa Loliondo au lah...Inapokuja suala la Bed Business,UTACHOKA! Kungfu si Kungfu...Taekwondo Si Taekwondo...Sarakasi si Sarakasi,ilimradi kero....Hataki umguse hiki...ukimgusa kile hataki,ye anataka kipondo alale....Mapenzi ni sanaa...Mapenzi ni Sayansi...Mapenzi ni maelewano ya wewe na yeye,anapenda nini,unapenda nini,maadam haombi kubadili Channel kutoka BBC kwenda Deutche Welle(Kula Tigo) sioni kitu ambacho ni kibaya kitandani...

Sasa utaambiwa Mate ni Uchafu....Ukimshika nanihii ili umuandae awe Wet vizuri(na hii ni recommended kiafya kuepuka Unnecessary Friction wakati wa tendo), HATAKI,eti sijazoea kushikwa huko,,,Sasa ushikwe Pua au?

Hataki kunyonywa(japo raha ni ya kwake)...Hataki kunyonya(BJ) eti ni uzungu na uchafu....Sasa ndugu zangu,haya ni Mapenzi au wazimu?Yaani nikurupuke tu,bila Maandalizi,bila kujua you are wet enough or not,nakurukia kama nadandia Bajaj...kweli?

Sasa Mwanaume huyu akikamatwa na kitoto kinachojua umuhimu wa Maandalizi,kikampa makamuzi,Mmeo/Boyfriend anakalishwa chali kama anasubiri Oparesheni ya Appendix,anashughulikiwa,akija kupewa mzigo You think huyu Mwanaume atakuwa na time na wewe?Muwe mnawaza...

Mapenzi sio Biashara ya Usafi,kama unadhani Mahaba yana usafi umekosea njia,hakuna Biashara ya Uchafu kama Mapenzi,ila Uchafu wenye raha...

Ukiwa penzini huna tofauti na Chizi,akifika jalalani hachambui hiki nini na kile nini...Maadam kinalika basi ndo anaponea hapo...

Kama Mapenzi yako yana masharti kama Dokta Manyaunyau,tafadhali tafuta biashara nyingine ya kufanya,hii ushafeli...

WAZEE WA MUDA

Hawa ni mabingwa wa kuhesabu dakika....Utasikia humalizi tu....Jamani nusu saa bado upo tu huchoki....We mwanaume robo saa si tayari unanikomoa??Nani akukomoe wewe!!
We Mwanaume hiyo ndo style gani....
Nani kakufundisha hii mbona hatujawahi kufanya.....

Sasa haya Mapenzi au Interview?

Yaani muda wote mnapepeta ye anauliza maswali tu kama OCD wa Polisi Mabatini,sasa raha utasikia saa ngapi?Mwanaume anajipinda ili akufikishe wewe umekazana na Questionnaire yako....Mara kidogo filimbi hiyo.....utasikia Maliza bwana mi nimechoka..Yaani kauliza maswali weeee,halafu anakwambia Maliza....Dah,ukute we ndo kwanza uko Chalinze,unaambiwa maliza,sasa sijui utafika Ubungo Stendi na Ungo....Kwakweli,kama uko hivi,sishangai Mmeo akicheat,kosa ni lako mwenyewe!

MWANAMKE UMENISIKIA?MASHARTI ZIACHIE FOMU ZA MKOPO WA BENKI

Safi sana. Nadhani wamekusikia na wamekuelewa.
 
Unataka nithibitishe mara ngapi?
Sijaona ulichothibitisha hapo zaidi ya kurudia rudia hiyo mifano yako ya paka na panya..
Utadhani paka wote ni madume wakati pia kuna wengine ni majike wana kimbiza panya madume, mfano wako hauna ualisia wowote!!!!!!!!!!!!
habari za baba angu kuwa cheater hiyo anafaa kuiongelea mama angu sio mimi wala wewe
Kwenye post zangu zote sijazungumzia wazazi wako kucheateana jaribu kuzirudia..
ongea kuhusu mimi
baba angu, mwanaume wangu wateme...
kwa kua wao hawanajinsia ya kiume au..?
Nitawatema tu kama utaamua kuifuta kauli yako tofauti na hapo unayoyaongea hapa yana wahusu..!!
 
Wanawake wamekuwa Mabingwa sana wa kulaumu Wanaume kwanini wanacheat sana..Na wanaamini kwamba Wanaume hawana Reason ya Kucheat maana wao wanadhani wamefanya yoteeee,sasa kwanini jamaa acheat?

Leo naleta kwenu Aina ya Wanawake ambao wao wenyewe kwa hiari,wanafanya mambo ambayo ni Greenlight kwa Mwanaume kucheat.

MASHARTI KIBAO KAMA FOMU YA MKOPO

Hawa wanawake wana misimamo yao ambayo sijui wamefundishwa na Ngariba wa Loliondo au lah!!!! Linapokuja suala la Bed Business, UTACHOKA! Kungfu si Kungfu!Taekwondo Si Taekwondo! Sarakasi si Sarakasi! Ilimradi kero....Hataki umguse hiki...ukimgusa kile hataki, yeye anataka kipondo alale....Mapenzi ni sanaa...Mapenzi ni Sayansi...Mapenzi ni maelewano ya wewe na yeye,anapenda nini, unapenda nini, maadam haombi kubadili Channel kutoka BBC kwenda Deutche Welle(Kula Tigo) sioni kitu ambacho ni kibaya kitandani.

Sasa utaambiwa Mate ni Uchafu....Ukimshika nanihii ili umuandae awe Wet vizuri(na hii ni recommended kiafya kuepuka Unnecessary Friction wakati wa tendo), HATAKI, eti sijazoea kushikwa huko.... Sasa ushikwe Pua au?

Hataki kunyonywa(japo raha ni ya kwake). Hataki kunyonya(BJ) wengine wasema kucheza na mic, eti ni uzungu na uchafu! Sasa ndugu zangu,haya ni Mapenzi au wazimu?

Yaani mwanamume akurupuke tu bila maandalizi, bila kujua you are wet enough or not, akurukie kama anadandia Bajaj...kweli?
Sasa Mwanaume huyu akikamatwa na kitoto kinachojua umuhimu wa Maandalizi, kikampa makamuzi, Mmeo/Boyfriend anakalishwa chali kama anasubiri Oparesheni ya Appendix, anashughulikiwa, akija kupewa mzigo You think huyu Mwanaume atakuwa na time na wewe???Muwe mnawaza.

Mapenzi sio Biashara ya Usafi,kama unadhani Mahaba yana usafi umekosea njia, hakuna Biashara ya Uchafu katika Mapenzi, ila Uchafu wenye raha... Ukiwa penzini huna tofauti na Chizi, akifika jalalani hachambui hiki nini na kile nini...Maadam kinalika basi ndo anaponea hapo...Kama Mapenzi yako yana masharti kama Dokta Manyaunyau,tafadhali tafuta biashara nyingine ya kufanya,hii ushafeli bibiye!

WAZEE WA MUDA

Hawa ni mabingwa wa kuhesabu dakika....Utasikia humalizi tu....Jamani nusu saa bado upo tu huchoki....We mwanaume robo saa si tayari au unanikomoa?? Hivi nani akukomoe wewe!! Au utamsikia oooh we Mwanaume hiyo ndo style gani? Nani kakufundisha hii mbona hatujawahi kufanya!!!! Sasa jamani haya ni Mapenzi au Interview?
Yaani muda wote mnapepeta ye anauliza maswali tu kama OCD wa Polisi Mabatini,sasa raha utasikia saa ngapi?Mwanaume anajipinda ili akufikishe wewe umekazana na Questionnaire yako....Mara kidogo filimbi hiyo.....utasikia Maliza bwana mi nimechoka.. Yaani kauliza maswali weeee,halafu anakwambia maliza....Dah!!!!! Halafu ukute we ndo kwanza uko Chalinze,unaambiwa maliza, sasa sijui utafika Ubungo Stendi na Ungo!!!! Kwakweli,kama uko hivi, sishangai Mumeo akicheat, kosa ni lako mwenyewe wewe mwanamke!

MWANAMKE UMENISIKIA?MASHARTI ZIACHIE FOMU ZA MKOPO WA BENKI
 
Hahaaaa. Nimecheka hadi nkatoa hamu. Eti kidume amekalishwa chali kama anasubiri operation ya nini etii?... Hahahaaa kie kiee kieee!!!
 
hapo kweli umetisha masharti waache kwenye mikopo kuna mmoja nilikua namchezea kiuno last week jana ananiambia oh umenisababishia ugonjwa wa mapafu shenzi kabisaaaa wanawake bhana aah:israel:
 
Ila kweli masista du...muache isistaduu kwenye mapenzi kama unampenda mtu jiachie bana
 
njemba inatoka Masaki inahamia Mwembeyanga... kisa... burudani bila shobo....:baby:
 
Back
Top Bottom