huwa nakeleka sana na watu wasio weka picha na specification nyingine,au wanaotaka niwa-pm,sijui huwa hawajiamini,na huenda hayo magari yanakua ni mabovu,sasa fikiria gari linauzwa mil3.5,alafu hakuna specification yeyote tajwa,mara nyingi ni mabovu ukinunua lazima ukae!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.