molely molly
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 317
- 30
Hallo wadau mimi nipo moshi kwa sasa nina shida na mashine ya kuangulia vifaranga ninapendelea iwe ni automatic isiwe imechoka iwe na uwezo wa kuhifadhi joto kwa muda my budget iko laki 4 ifike nilipo! shukrani kwenu wadau:A S 103::amen: