Namfaham mabeyo tokea zaman sana,wakat wa ujana(mtwara enzi za training za urubani),utu uzima tukiishi Upanga/Alkhan street plot 310yake ilikuwa #4 nakumbuka wakat mimi nikiea room #¥¥!Hata alipokuwa Jeshin (Military intelligence),hakuwa brigadier General wakat anapewa ukuu
Swali lako zuri,ni kweli kuna kikosi kilipitia huko sudan ila haimaanishi vyote vilipita huko,ni kamandi moja tuu ndio ilipita huko kwa dhumuni la kuivamia Uganda kwa kupitia Nimule(boarder ya ug&Sudan) na aliyewezesha vikosi kufika hapa ni either Kamanda Lupogo au Kimario(mmoja wao ndiye...
Ah siku ya leo naianza vizur sana kwa hisani ya andiko lako comrade mbwana!nimekumbuka mbali sana na nimekumbuka watu wengi sana ambao wengi wao wapo mbele ya haki kutokana na kupoteza uhai wakati wakitekeleza majukumu ya kuijenga&kuilinda nchi hii!!!pia nimejikuta naikumbuka isman(iringa) ya...
Taarifa nzur sana,ndio maana kuna mdau aliniuliza kama wameonewa nikasema siwezi kusema wameonewa au sio maana hakuna nalolijua kiundan sana
Kati ya hao saba waliokamatwa kuna wawili ni ndgu zake wa mama mmoja na mtuhumiwa mkuu,hebu jalib fuatilia hii taatifa uone jinsi hii kesi ina sintofaham...
Last month nilikuwa dar es salaam kwa ishu flan nkapita pale central police kumsalimu jamaa yangu Mr x,wakati nikiwa pale ndipo nikakutana na ishu ya hao vijana
Nilipomuuliza yule mzee mwenzangu alinigusia kidogo swala lao ya kwamba walikamatwa kivule kwa kosa la utapeli wa mtandao kwa kutumia...
nimegundua kuwa wengi wenu nyinyi ambao account zenu ni verified huwa mna post kwa uoga sana mkohofia usalama wenu ama kulinda reputation, matokeo yake mnapost hadi empty txt yaan
Tahadhali yetu sisi ni maombi tu, kama waliokufa huwa wanaona kinachoendelea duniani bhas Iddi Amin atakuwa anafurahi sana wakati Mwl akitokwa na machozi
Fort ikoma 27/10/1992#Sitosahau&nitaludi.
Kitanda hakizai haramu kijanA,afu kama mzee wako yupo hai hebu anza wewe na yeye kwa kupima hiyo DNA, majibu ya kipimo yakitoka na wew kawapime watoto zako.
Fort ikoma 27/10/1992#Sitosahau&nitaludi.
Mimi ni Mdogo wake jiwe(tumbo moja)ila maisha yamenipiga sana huku itulavanu kwakuwa kanitelekeza kama bwana mkapa alivyomtelekeza yule kaka yake aliyekuwa anaishi mwananyamara wakat yeye Ben akilala magogoni.
Maholangumbi 27/10/1992#Sitosahau&nitaludi.
Mzungu anae tukosoa ni mwiko kumwita mtu mwema ila huitwa beberu,Mzungu huyohuyo akitupatia msaada ni mwiko kumuita beberu ila huita mfadhili.
Maholangumbi 27/10/1992#Sitosahau&nitaludi.
Huu ni muda muafaka kabisa wa kuweka sheria ya daladala zote kutembea bila kusimamisha abiria,na hata kama ugonjwa utaisha sheria ibaki,itasaidia sana kudhibiti magonjwa kama TB nk
Luganga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.