Idadi ya vifo kutokana na Ugonjwa wa Corona USA vyafikia 1,000

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,265
11,590
Mwezi mmoja uliopita mtu wa kwanza aligundulika na Corona US kimasiahara tu Trump akasema kuwa US Iko salama , wataidhibiti Corona watu wapige kazi

Leo asubuhi kwa mujibu wa tofuti rasmi ya BBC wameripoti kuwa idadi ya vifo kwa US pekee imefikia watu 1,000 ndani ya mwezi tu

Huu ugonjwa sio wakuuletea masihara tuchukue tahadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BBC NEWS
Screenshot_20200326-092514.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tahadhali yetu sisi ni maombi tu, kama waliokufa huwa wanaona kinachoendelea duniani bhas Iddi Amin atakuwa anafurahi sana wakati Mwl akitokwa na machozi

Fort ikoma 27/10/1992#Sitosahau&nitaludi.
 
... japo kwa kuchelewa, serikali isimamie suala la mikusanyiko bila mzaha! Ukiangalia eneo kama la mwendokasi Dar utaona hatuko serious ni hili janga!
 
Acheni kulalamika ninyi viumbe. Mwanadamu utajikinga na mauti?acheni hizo bwana, mtegemee mungu, kwaiyo mnataka kusema mpaka leo ni jitihada zetu? Hebu acheni upagani bwana,

Uganda si imefunga kila kitu hadi daladala? Mbona leo zimelipotiwa cases 20?
Mtegemee mungu hili linapita kwa kutubu dhambi na kuomba rehema!

Unataka kusema ww utajikinga kuliko mwanamfalmw wa uingeleza? Hebu acheni hizo bwana
Kwa sisi bado hatujawa makini sana na ugonjwa huu. Mungu atulinde

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ACHENI KULALAMIKA NINYI VIUMBE. MWANADAMU UTAJIKINGA NA MAUTI?ACHENI HIZO BWANA, MTEGEMEE MUNGU, KWAIYO MNATAKA KUSEMA MPAKA LEO NI JITIHADA ZETU? HEBU ACHENI UPAGANI BWANA,
UGANDA SI IMEFUNGA KILA KITU HADI DALADALA? MBONA LEO ZIMELIPOTIWA CASES 20?
MTEGEMEE MUNGU HILI LINAPITA KWA KUTUBU DHAMBI NA KUOMBA REHEMA!
UNATAKA KUSEMA WW UTAJIKINGA KULIKO MWANAMFALMW WA UINGELEZA? HEBU ACHENI HIZO BWANA
atleast wewe Akilitime umenena vyema manake ni mwendo wa taharuki mwisho tuongopa kutoka ata nje sisi tulio panga uswahilini kwetu ustarabu 0%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha wapate kitu cha kuwa-keep busy sasa maana kila siku matamko kuhusu yasiyowahusu.

Actually sijui kigugumizi kinatoka wapi kwa Decision makers wa nchi hii kufanya maamuzi sasa hivi.

Vyombo vya usafiri,nyumba za ibada,magulio/minada vinaendelea ilhali wenzetu muda wowote watafunga hadi kambi za jeshi!

Gharama za ku-deal na huu mlipuko zitakuja kuwa kubwa kuliko hasara ya kuchukua hatua leo.

BTW: Wajinga husubiria kujifunza kutokana na makosa yao wenyewe siyo ya wenzao.
 
mwezi mmoja uliopita mtu wa kwanza aligundulika na Corona US kimasiahara tu trump akasema kuwa US Iko salama , wataizibiti Corona watu wapige kazj

leo asubuhi kwa mujibu wa tofuti rasmi ya BBC wameripoti kuwa idadi ya vifo kwa US pekee imefikia watu 1,000 ndani ya mwezi tu

huu ugonjwa sio wakuuletea masihara tuchukue tahadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao USA si walisema janga la corona ni fursa kwao? Acha wapambane nalo
 
Back
Top Bottom