nikiwa kidato cha tatuUlioa ukiwa form ngapi
mkuu hata mimi ningeogopa maneno na hali nilizopitia singeingia kwenye uhusiano ila muangalie huyo utakae mchukua je mtaendana bas mengine bwebweMungu anijaalie.......miongoni mwa ndoto na malengo yangu ya maisha ni kuoa na kuwa na familia yangu.
Pasipokujali Hali nitakazopitia
mkuu hebu tulia uandike hii story yako kirefu zaidimkuu hata mimi ningeogopa maneno na hali nilizopitia singeingia kwenye uhusiano ila muangalie huyo utakae mchukua je mtaendana bas mengine bwebwe
Mtaachana tu...Ndio hivyo usimuache mke wa ujanani kwako.
Karibu kama una swali nitakujibu
Mkeo ataanza kuwa mama wewe bado kijana,😁😁kama story ni kweli by 2025 mtakua mshaachanamiaka 17 kasoro miez tumepisha
Ndio hivyo usimuache mke wa ujanani kwako.
Karibu kama una swali nitakujibu
Ndio hivyo usimuache mke wa ujanani kwako.
Karibu kama una swali nitakujibu
Nilitaka kukuzingua lakini baada ya kufika hapa, nimeonelea nikaushe manake inawezekana ikawa unasema ukweli (my problem mimi ni mgumu sana kuamini amini kirahisi). Na kama ni kweli, basi we jamaa utakuwa na upako manake at 17 uanze kula vitu used just for her sake! Lazima utakuwa uncle ake na Jesus; hebu muulize vizuri mshua!mpaka sasa nina watoto nae wawili ktk hao wawl huyu mmoja nilimkutia anamiez mitatu na sababu ya kuamua kuoa mapema hivyo ni huruma maana hakuwa na msaada wowote na isitoshe hakuwa na wazazi alie mzalisha alimkimbia akiwa kidato cha pili nikaona isiwe kesi ngoja nibebe jukumu