Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,719
- 114,061
- Thread starter
- #121
Mkuu Jiforopolitiki, karibu mitaa hii uone jinsi nimavyomsifu Zitto na kumfagilia.P. kwa nini siku zote umekuwa mtetezi sana wa Zitto? sijawahi kuona ukipingana na hoja ya Zitto hata za kizushi kama zile za watu mia kuuawa, hata zile za kusena serikali haina chakula na watu wataanza kufa kwa njas, tulishasubiri hadi leo hatujaona hayo aliyo yasema, lkn nikuulize swali, Zitto mkoje naye mkuu na huwa anakupa nini hadi usimuone kuwa anachotaka muda wote ni political attention, leo unamtaja mbunge makini? jana kasema wanataka kumweka ndani kabla ya uchaguzi, ana nguvu gani hadi magu amuogope, wakati uchaguzi uliopita chama chake kilipata asilimia ambazo hazitajiki, je, Lissu atasemaje kama hata Zitto ni threat kwa uchaguzi ujao? hebu leo tuweke wazi!
Sent using Jamii Forums mobile app
P