MKUU, INFUSION PREPARATION YAKE SIO KAMA MAJI UNACHOTA KWENYE BOMBA AU UNAKINGA KWENYE MVUA
KUNA PROCESS KIBAO KAMA REVERSE OSMOSIS,VALIDATION,INCUBATION SO YES NA HOSPITAL NI CHACHE ZINAZOTENGENEZA INFUSION TZ KAMA SIO NNE KCMC,TUMBI,MUHIMBILI NA BUGANDO I THINK SO YES
Za muda huu wakuu wa mambo
Moja kwa moja kwenye mada, tokea nije Dodoma sio nguo sio ngozi lazima vibadilike ila nikirudi DSM hali inakuwa nzuri mno
Nguo - ukiifua zaidi ya mara 5 kama ni nyeusi mpauko utakao uona huwezi kuitamani hiyo nguo na rangi nyingine ni nafuu ila nyeusi ndio mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.