Dripu ya maji hospitali za Serikali bei ni Tsh 20,000?

kitalembwa

JF-Expert Member
Jul 12, 2014
2,898
7,291
Wasalaamu!

Kama heading inavyojieleza, Desemba hapa nilikuwa na mgonjwa alielazwa hospitali ya wilaya moja mkoani! Alihitaji damu na maji!

Chupa ya damu walisema ni elfu 20 (hii ni kwa mujibu wa aliekuwa anamhudumia, na maji elfu 20! Tatizo halipo kwenye damu, ni maji, je kwa wazoefu au wataalam wa afya kuna dripu inauzwa bei ghali namna hii ama kwa vile kila wakitaja kitu muamala unasoma wakaona hii ni njia ya kunipiga?

Sikutaka kuhoji Sana, bills nilizokuwa napewa nilikuwa nazilipa bila pingamizi!

Angekuwa walau hospitali private ambayo ni expensive kidogo nisingehoji, lakini hizi hizi za serikali? Naomba kueleweshwa ama Mimi ndio sijui?

NB: Mgonjwa wetu alipatiwa drip 2 za damu na 4 za maj, Now Yuko poa na keshatoka hospitali. Ndo uafrika wetu kushikana mikono hakuna namna.
 
Alikua anatibiwa nini? Unaweza kusema maji tu kumbe alikua under chemotherapy??? Au dawa yoyote nyingine!
 
Kuna dawa zipo kama drip au linaweza likawa drip la kawaida likawekwa dawa, labda wewe uliona maji tu! Fluid za kawaida serikalini haziwezi kuuzwa ghali ivo.
Basi inawezekana mkuu! Huyu mgonjwa alijifungua kwa operation, ndo ikAtokea huo upungufu wa maji na damu! Kwa hio scenario ebu nieleweshe kidogo
 
Unaogopa hata kutaja jina la hospitali/wilaya ilipo. Tukusaidiaje? Au we Ngumbaru mwenzangu? Maana Ngumbaru kutwa kulalamika tu bila kufikiri. Eti tunamkumbuka Babu Jesca
Mkuu sio lazima kukomenti kama huna Cha kusema! Sijaja hapa kudhalilisha taaluma ya/za mtu,,, niitaje hosp ili iweje ? Si nitakuwa nimewachoma hao ma-doc,,, nikipata abcd naweza kudili nao personal na vyombo vya sheria bila kuwaanika hapa
 
Wasalaamu!

Kama heading inavyojieleza, Desemba hapa nilikuwa na mgonjwa alielazwa hospitali ya wilaya moja mkoani! Alihitaji damu na maji!

Chupa ya damu walisema ni elfu 20 (hii ni kwa mujibu wa aliekuwa anamhudumia, na maji elfu 20! Tatizo halipo kwenye damu, ni maji, je kwa wazoefu au wataalam wa afya kuna dripu inauzwa bei ghali namna hii ama kwa vile kila wakitaja kitu muamala unasoma wakaona hii ni njia ya kunipiga?

Sikutaka kuhoji Sana, bills nilizokuwa napewa nilikuwa nazilipa bila pingamizi!

Angekuwa walau hospitali private ambayo ni expensive kidogo nisingehoji, lakini hizi hizi za serikali? Naomba kueleweshwa ama Mimi ndio sijui?

NB: Mgonjwa wetu alipatiwa drip 2 za damu na 4 za maj, Now Yuko poa na keshatoka hospitali. Ndo uafrika wetu kushikana mikono hakuna namna.
MKUU, INFUSION PREPARATION YAKE SIO KAMA MAJI UNACHOTA KWENYE BOMBA AU UNAKINGA KWENYE MVUA
KUNA PROCESS KIBAO KAMA REVERSE OSMOSIS,VALIDATION,INCUBATION SO YES NA HOSPITAL NI CHACHE ZINAZOTENGENEZA INFUSION TZ KAMA SIO NNE KCMC,TUMBI,MUHIMBILI NA BUGANDO I THINK SO YES
 
Basi inawezekana mkuu! Huyu mgonjwa alijifungua kwa operation, ndo ikAtokea huo upungufu wa maji na damu! Kwa hio scenario ebu nieleweshe kidogo
Mkuu, labda ungemuuliza vizuri mgonjwa au ndugu aliyekuwa nae maana mgonjwa kabla ya kwenda theatre kwa ajili ya operation anapata "maji" kadhaa na dawa za maji pia anapata. pia akitoka operation lazma apate dawa za maji na dripu za "maji" zaidi ya 1.5 L..... Sasa sjajua imekuwaje kwa upande wako.
 
Tangu lini damu ikauzwa ? Damu ni bure na ndio maana tunaombwa kuchangia benki ya damu bure.
 
MKUU, INFUSION PREPARATION YAKE SIO KAMA MAJI UNACHOTA KWENYE BOMBA AU UNAKINGA KWENYE MVUA
KUNA PROCESS KIBAO KAMA REVERSE OSMOSIS,VALIDATION,INCUBATION SO YES NA HOSPITAL NI CHACHE ZINAZOTENGENEZA INFUSION TZ KAMA SIO NNE KCMC,TUMBI,MUHIMBILI NA BUGANDO I THINK SO YES
Screenshot_20220124-161347_WhatsApp.jpg
 
Wasalaamu!

Kama heading inavyojieleza, Desemba hapa nilikuwa na mgonjwa alielazwa hospitali ya wilaya moja mkoani! Alihitaji damu na maji!

Chupa ya damu walisema ni elfu 20 (hii ni kwa mujibu wa aliekuwa anamhudumia, na maji elfu 20! Tatizo halipo kwenye damu, ni maji, je kwa wazoefu au wataalam wa afya kuna dripu inauzwa bei ghali namna hii ama kwa vile kila wakitaja kitu muamala unasoma wakaona hii ni njia ya kunipiga?

Sikutaka kuhoji Sana, bills nilizokuwa napewa nilikuwa nazilipa bila pingamizi!

Angekuwa walau hospitali private ambayo ni expensive kidogo nisingehoji, lakini hizi hizi za serikali? Naomba kueleweshwa ama Mimi ndio sijui?

NB: Mgonjwa wetu alipatiwa drip 2 za damu na 4 za maj, Now Yuko poa na keshatoka hospitali. Ndo uafrika wetu kushikana mikono hakuna namna.
labda hao wako kwenye lile kundi la mbuzi wenye kamba ndefu
 
Wasalaamu!

Kama heading inavyojieleza, Desemba hapa nilikuwa na mgonjwa alielazwa hospitali ya wilaya moja mkoani! Alihitaji damu na maji!

Chupa ya damu walisema ni elfu 20 (hii ni kwa mujibu wa aliekuwa anamhudumia, na maji elfu 20! Tatizo halipo kwenye damu, ni maji, je kwa wazoefu au wataalam wa afya kuna dripu inauzwa bei ghali namna hii ama kwa vile kila wakitaja kitu muamala unasoma wakaona hii ni njia ya kunipiga?

Sikutaka kuhoji Sana, bills nilizokuwa napewa nilikuwa nazilipa bila pingamizi!

Angekuwa walau hospitali private ambayo ni expensive kidogo nisingehoji, lakini hizi hizi za serikali? Naomba kueleweshwa ama Mimi ndio sijui?

NB: Mgonjwa wetu alipatiwa drip 2 za damu na 4 za maj, Now Yuko poa na keshatoka hospitali. Ndo uafrika wetu kushikana mikono hakuna namna.
Bila shaka ni zaidi ya drip moja
 
MKUU, INFUSION PREPARATION YAKE SIO KAMA MAJI UNACHOTA KWENYE BOMBA AU UNAKINGA KWENYE MVUA
KUNA PROCESS KIBAO KAMA REVERSE OSMOSIS,VALIDATION,INCUBATION SO YES NA HOSPITAL NI CHACHE ZINAZOTENGENEZA INFUSION TZ KAMA SIO NNE KCMC,TUMBI,MUHIMBILI NA BUGANDO I THINK SO YES
Unaongea na ngumbaru hajui lolote huyo....
 
Back
Top Bottom