Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Alafu shangaa sasa, wafungwa ambao wameua, kuvunja nk, wote dini inakuta uende kuwaangalia aseee...
Jibu huwa kwamba ukiwa humo hauna Nafasi ya kumulipa mtu mema. Hivyo ukiipeleka kwa mfungwa umetoa bila kutegemea kulipwa ndiyo maana inaneema kwa Myngu
 
Daah umenifungua macho mkuu, Ingawa mi nlitaka ku share tu masaibu yaliyonikuta maishani mwangu, kumbe kuna mjinga anaweza kupiga hela bure wakati mi namaliza bandle langu bure,

Basi ngoja niishie hapa, Poleni sana Wadau,

Ntaiandika yote alafu ntaileta yote kwa pamoja,

Ngoja sasa nianze kujibu comment
Ndio mnaanzaga hivi then mnawaannbia watu wahamie telegram,halafu unaweza kukuta id iliyokushauri huu utumbo ni ya kwako
 
Unajua wakati mwingine ili hata stori inoge wakosoaji kama sisi ndo tuna fanya uzi uwe na ladha ...si kwa ubaya lakini eb fikiria watu wote humu tuseme stori ni nzuri ni kitu ambacho hakiwezekani watu kama sisi tuna nafasi yetu pia tuheshimiwe ....... natamani nikujibu hoja yako ya kumsahihisha mtoa uzi sema mimi ni mvivu kuandika ....inshort challenge ni sehemu ya stori
👁️💯😍❤️👊🤞🤛🤜🤛🤜🤛💪🙏
 
SEHEMU YA KUMI NA NANE

Ilipoishia,,,,,,,,,,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Endelea,,,,,,,,,,,,,

Siku moja ndo tumerudi kutoka kiwandani, tumeingia ili tupige msosi, Mara afande mmoja akaniita, akaniambia twende unapolala, tukaenda,mi sina hili wala lile, akaniambia nyanyua godoro, nikanyanyua, heeh mara naona kifurushi cha bangi na ugoro, basi akanipiga buti hilo, akaniambia kumbe ndo tabia yako, sisi tunapambana kuzuia hivi vitu alafu we ndo unaleta humu ndani, basi nikala mabuti ya kutosha, namwambia afande mi sijui hivi vitu lakini hanielewi, mzee baba nilikula kisago cha maana,

Basi nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, Nikaambiwa niseme natoa wapi hivyo vitu, mi nikasema hata sielewi,mi pia nashangaa, wakawa hawanielewi, Nikaamriwa nipewe adhabu kali na nipigwe kitambaa chekundu mgongoni, sema yule afande wa kiwandani aliyekuwa ananikubali akanitetea pale kuwa mi sina hizo tabia, basi ndo ikawa ponea yangu,

Kule jela kuna vitambaa vya rangi mbalimbali na maana zake, ukiona mfungwa ana kitambaa cha njano kwenye kola basi huyo ni wa kifungo cha maisha, kitambaa cha rangi ya ugoro mgongoni ni mfungwa mwenye nidhamu, kitambaa chekundu ni mfungwa hatari, anatakiwa uangalizi maalum na kazi zake ni ngumu sana, mfungwa mwenye ufito wa kamba huyo anaitwa mchungi, mchungi ni mfungwa aliyetumikia kifungo chake sasa kabakiza kidogo sana amalize, hawa huwa wanaachwa tu huko nje, wanafanya kazi huko nje hata kulala wanaweza kulala hukohuko nje,

Basi nikasamehewa pale baada ya kuombewa msamaha, ila nikatolewa kiwandani kazi zangu zitakuwa kulima,

Basi nikarudi ndani nikamwelezea yule jamaangu, akaniambia huo mchezo upo sana huku ndani, yaani mtu akishakuwa na kinyongo na wewe basi anakuwekea bangi au mirungi ili ionekane wewe ndo unaviingiza humo ndani alafu anaenda kukuchongea kwa afande, Sa nikamuuliza kwani mi nna bifu na nani, akasema si lazima uwe na bifu na mtu, anaweza tokea tu mtu hakupendi basi akakufanyia hivyo ili kukuharibia, Daah hatari sana,

Basi nikawa napiga kazi za nje tu sasa, ni ngumu sana, kazi za kuzibua chemba za vyoo kwenye nyumba za maaskari ni za kawaida kabisa, Nilipiga kazi mpaka nikawa nawaza kitoroka nisije kufia huku,

Mungu saidia siku zikakata, ikafika siku kesho ndo namaliza kifungo natoka jela, Daah siku hiyo usiku tulipiga stori sana na yule jamaangu, akaniambia we nenda bana sisi bado tupo sana huku, ila fanya ufanyavyo usije ukarudi tena huku, we mwenyewe si umeona haya maisha, si poa kabisa, Nikamwambia ni kweli,pia nikamshukuru sana kwani kwa kipindi chote amekuwa saport kubwa sana kwangu, Tuliongea sana siku ile,

Kesho yake kweli nikaitwa,nikaambiwa kifungo chako kimeisha upo huru, ila usije ukatenda kosa tena ukarudishwa huku, basi nikapewa nguo za kiraia nikavaa,

Nikatoka gerezani, sasa naenda wapi, Nikawaza ningekuwa na nauli ningerudi zangu Dar, huko ningewakuta Sity na Da J, Au hata ningeenda zangu kwetu kijijini maana ni kitambo sana tangu nitoke huko, ningemkuta happy na mtoto, baba na mama, nimewamis sana,

Nikawa natembea na barabara tu huku nawaza, nikatembea paka nikajikuta nimetokea moshi stand, nikapita natembea tuu tena mikono nyuma maana naogopa nisije nikarusha mikono nikamgonga mtu akasema nimempiga nikarudi jela, Maana hawa watu nimesha waogopa sasa!

Nikatembea nikafika stesheni ya treni nikavuka zile reli nashuka tu huko chini sijui hata naenda wapi, nilitembea sana, paka nikafika sehemu nikakuta msitu, mwanzo nilijua ni pori tu kumbe ni msitu mkubwa, Na jioni ilikuwa imeshafika, nikasema kuliko usiku unikute mtaani ni bora unikute msituni, maana mtaani hawachelewi kuniita mwizi, yani kwa yaliyonipata watu nikawa nawaogopa sana, nibora nikutane na wanyama wakali lakini si watu,

Basi nikazama msituni, natembea tu huko, giza likaingia nikawa sioni tena mbele, nikasema nipande juu ya mti nilale ila nikaogopa nikipitiwa na usingiza nikaanguka itakuwaje, Basi nikaingia kwenye kichaka nikatandika majani nikalala,
Ajabu nikawa hata siogopi, yaani nikaona kawaida sana utadhani nipo nyumbani,

Kweli bana kuka pambazuka, nikatoka kichakani nikaendelea kutembea, nikatembea sana huko msituni, nikisika sauti za watu naingia kichakani nanyuti, wanapita unakuta ni watu wamebeba kuni, basi natoka naendelea kutembea,

Sasa njaa ikaanza kuuma, nikawa natafuta angalau matunda pori nile, kweli nikakuta sehemu vimti flani hivi kinakuwa na vitunda vidogodogo kama vigololi,vikiiva vinakuwa vyeusi, vitamu ukila, basi nikakinga shati kwa mbele nikaanza kuvichuma, nikavichuma vingi tu nikaanza kula huku natembea, kufika mbele nikakuta mto umepita mule msituni, nikashuka mtoni nikanywa maji yakitosha tu, ni machafu lakini sikujali,

Nikakaa pembeni ya mto pale nikamalizia vitunda vyangu, nikanywa maji tena nikajiskia fresh sasa, nikavuka ule mto nikaendelea na safari yangu, nikatembea mpaka msitu ukaisha nikatokea kijijini,

Itaendelea
 
Kibongobongo watu kuitiana mwizi huwa hawaoni tabu kabisa yani

Mtu akikuhisi anakuitia mwizi wakati anajua kabisa unaweza kuuawa.
Kama huyo manzi ndo aliechochea mpaka ukafikia hapo.
Na wanawake ndo wepesi sana kuitia mtu mwizi
Hata mademu wa pale mabibo hostel Kuna mademu walikuwa wakila hela za wanafunzi. Wakifuatwa room wanalia eti mwizi. Sasa kibao kinawageuka kinyama wanapewa za kwao
 
SEHEMU YA KUMI NA NANE

Ilipoishia,,,,,,,,,,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Endelea,,,,,,,,,,,,,

Siku moja ndo tumerudi kutoka kiwandani, tumeingia ili tupige msosi, Mara afande mmoja akaniita, akaniambia twende unapolala, tukaenda,mi sina hili wala lile, akaniambia nyanyua godoro, nikanyanyua, heeh mara naona kifurushi cha bangi na ugoro, basi akanipiga buti hilo, akaniambia kumbe ndo tabia yako, sisi tunapambana kuzuia hivi vitu alafu we ndo unaleta humu ndani, basi nikala mabuti ya kutosha, namwambia afande mi sijui hivi vitu lakini hanielewi, mzee baba nilikula kisago cha maana,

Basi nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, Nikaambiwa niseme natoa wapi hivyo vitu, mi nikasema hata sielewi,mi pia nashangaa, wakawa hawanielewi, Nikaamriwa nipewe adhabu kali na nipigwe kitambaa chekundu mgongoni, sema yule afande wa kiwandani aliyekuwa ananikubali akanitetea pale kuwa mi sina hizo tabia, basi ndo ikawa ponea yangu,

Kule jela kuna vitambaa vya rangi mbalimbali na maana zake, ukiona mfungwa ana kitambaa cha njano kwenye kola basi huyo ni wa kifungo cha maisha, kitambaa cha rangi ya ugoro mgongoni ni mfungwa mwenye nidhamu, kitambaa chekundu ni mfungwa hatari, anatakiwa uangalizi maalum na kazi zake ni ngumu sana, mfungwa mwenye ufito wa kamba huyo anaitwa mchungi, mchungi ni mfungwa aliyetumikia kifungo chake sasa kabakiza kidogo sana amalize, hawa huwa wanaachwa tu huko nje, wanafanya kazi huko nje hata kulala wanaweza kulala hukohuko nje,

Basi nikasamehewa pale baada ya kuombewa msamaha, ila nikatolewa kiwandani kazi zangu zitakuwa kulima,

Basi nikarudi ndani nikamwelezea yule jamaangu, akaniambia huo mchezo upo sana huku ndani, yaani mtu akishakuwa na kinyongo na wewe basi anakuwekea bangi au mirungi ili ionekane wewe ndo unaviingiza humo ndani alafu anaenda kukuchongea kwa afande, Sa nikamuuliza kwani mi nna bifu na nani, akasema si lazima uwe na bifu na mtu, anaweza tokea tu mtu hakupendi basi akakufanyia hivyo ili kukuharibia, Daah hatari sana,

Basi nikawa napiga kazi za nje tu sasa, ni ngumu sana, kazi za kuzibua chemba za vyoo kwenye nyumba za maaskari ni za kawaida kabisa, Nilipiga kazi mpaka nikawa nawaza kitoroka nisije kufia huku,

Mungu saidia siku zikakata, ikafika siku kesho ndo namaliza kifungo natoka jela, Daah siku hiyo usiku tulipiga stori sana na yule jamaangu, akaniambia we nenda bana sisi bado tupo sana huku, ila fanya ufanyavyo usije ukarudi tena huku, we mwenyewe si umeona haya maisha, si poa kabisa, Nikamwambia ni kweli,pia nikamshukuru sana kwani kwa kipindi chote amekuwa saport kubwa sana kwangu, Tuliongea sana siku ile,

Kesho yake kweli nikaitwa,nikaambiwa kifungo chako kimeisha upo huru, ila usije ukatenda kosa tena ukarudishwa huku, basi nikapewa nguo za kiraia nikavaa,

Nikatoka gerezani, sasa naenda wapi, Nikawaza ningekuwa na nauli ningerudi zangu Dar, huko ningewakuta Sity na Da J, Au hata ningeenda zangu kwetu kijijini maana ni kitambo sana tangu nitoke huko, ningemkuta happy na mtoto, baba na mama, nimewamis sana,

Nikawa natembea na barabara tu huku nawaza, nikatembea paka nikajikuta nimetokea moshi stand, nikapita natembea tuu tena mikono nyuma maana naogopa nisije nikarusha mikono nikamgonga mtu akasema nimempiga nikarudi jela, Maana hawa watu nimesha waogopa sasa!

Nikatembea nikafika stesheni ya treni nikavuka zile reli nashuka tu huko chini sijui hata naenda wapi, nilitembea sana, paka nikafika sehemu nikakuta msitu, mwanzo nilijua ni pori tu kumbe ni msitu mkubwa, Na jioni ilikuwa imeshafika, nikasema kuliko usiku unikute mtaani ni bora unikute msituni, maana mtaani hawachelewi kuniita mwizi, yani kwa yaliyonipata watu nikawa nawaogopa sana, nibora nikutane na wanyama wakali lakini si watu,

Basi nikazama msituni, natembea tu huko, giza likaingia nikawa sioni tena mbele, nikasema nipande juu ya mti nilale ila nikaogopa nikipitiwa na usingiza nikaanguka itakuwaje, Basi nikaingia kwenye kichaka nikatandika majani nikalala,
Ajabu nikawa hata siogopi, yaani nikaona kawaida sana utadhani nipo nyumbani,

Kweli bana kuka pambazuka, nikatoka kichakani nikaendelea kutembea, nikatembea sana huko msituni, nikisika sauti za watu naingia kichakani nanyuti, wanapita unakuta ni watu wamebeba kuni, basi natoka naendelea kutembea,

Sasa njaa ikaanza kuuma, nikawa natafuta angalau matunda pori nile, kweli nikakuta sehemu vimti flani hivi kinakuwa na vitunda vidogodogo kama vigololi,vikiiva vinakuwa vyeusi, vitamu ukila, basi nikakinga shati kwa mbele nikaanza kuvichuma, nikavichuma vingi tu nikaanza kula huku natembea, kufika mbele nikakuta mto umepita mule msituni, nikashuka mtoni nikanywa maji yakitosha tu, ni machafu lakini sikujali,

Nikakaa pembeni ya mto pale nikamalizia vitunda vyangu, nikanywa maji tena nikajiskia fresh sasa, nikavuka ule mto nikaendelea na safari yangu, nikatembea mpaka msitu ukaisha nikatokea kijijini,

Itaendelea
nomaaa
 
SEHEMU YA KUMI NA NANE

Ilipoishia,,,,,,,,,,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Endelea,,,,,,,,,,,,,

Siku moja ndo tumerudi kutoka kiwandani, tumeingia ili tupige msosi, Mara afande mmoja akaniita, akaniambia twende unapolala, tukaenda,mi sina hili wala lile, akaniambia nyanyua godoro, nikanyanyua, heeh mara naona kifurushi cha bangi na ugoro, basi akanipiga buti hilo, akaniambia kumbe ndo tabia yako, sisi tunapambana kuzuia hivi vitu alafu we ndo unaleta humu ndani, basi nikala mabuti ya kutosha, namwambia afande mi sijui hivi vitu lakini hanielewi, mzee baba nilikula kisago cha maana,

Basi nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, Nikaambiwa niseme natoa wapi hivyo vitu, mi nikasema hata sielewi,mi pia nashangaa, wakawa hawanielewi, Nikaamriwa nipewe adhabu kali na nipigwe kitambaa chekundu mgongoni, sema yule afande wa kiwandani aliyekuwa ananikubali akanitetea pale kuwa mi sina hizo tabia, basi ndo ikawa ponea yangu,

Kule jela kuna vitambaa vya rangi mbalimbali na maana zake, ukiona mfungwa ana kitambaa cha njano kwenye kola basi huyo ni wa kifungo cha maisha, kitambaa cha rangi ya ugoro mgongoni ni mfungwa mwenye nidhamu, kitambaa chekundu ni mfungwa hatari, anatakiwa uangalizi maalum na kazi zake ni ngumu sana, mfungwa mwenye ufito wa kamba huyo anaitwa mchungi, mchungi ni mfungwa aliyetumikia kifungo chake sasa kabakiza kidogo sana amalize, hawa huwa wanaachwa tu huko nje, wanafanya kazi huko nje hata kulala wanaweza kulala hukohuko nje,

Basi nikasamehewa pale baada ya kuombewa msamaha, ila nikatolewa kiwandani kazi zangu zitakuwa kulima,

Basi nikarudi ndani nikamwelezea yule jamaangu, akaniambia huo mchezo upo sana huku ndani, yaani mtu akishakuwa na kinyongo na wewe basi anakuwekea bangi au mirungi ili ionekane wewe ndo unaviingiza humo ndani alafu anaenda kukuchongea kwa afande, Sa nikamuuliza kwani mi nna bifu na nani, akasema si lazima uwe na bifu na mtu, anaweza tokea tu mtu hakupendi basi akakufanyia hivyo ili kukuharibia, Daah hatari sana,

Basi nikawa napiga kazi za nje tu sasa, ni ngumu sana, kazi za kuzibua chemba za vyoo kwenye nyumba za maaskari ni za kawaida kabisa, Nilipiga kazi mpaka nikawa nawaza kitoroka nisije kufia huku,

Mungu saidia siku zikakata, ikafika siku kesho ndo namaliza kifungo natoka jela, Daah siku hiyo usiku tulipiga stori sana na yule jamaangu, akaniambia we nenda bana sisi bado tupo sana huku, ila fanya ufanyavyo usije ukarudi tena huku, we mwenyewe si umeona haya maisha, si poa kabisa, Nikamwambia ni kweli,pia nikamshukuru sana kwani kwa kipindi chote amekuwa saport kubwa sana kwangu, Tuliongea sana siku ile,

Kesho yake kweli nikaitwa,nikaambiwa kifungo chako kimeisha upo huru, ila usije ukatenda kosa tena ukarudishwa huku, basi nikapewa nguo za kiraia nikavaa,

Nikatoka gerezani, sasa naenda wapi, Nikawaza ningekuwa na nauli ningerudi zangu Dar, huko ningewakuta Sity na Da J, Au hata ningeenda zangu kwetu kijijini maana ni kitambo sana tangu nitoke huko, ningemkuta happy na mtoto, baba na mama, nimewamis sana,

Nikawa natembea na barabara tu huku nawaza, nikatembea paka nikajikuta nimetokea moshi stand, nikapita natembea tuu tena mikono nyuma maana naogopa nisije nikarusha mikono nikamgonga mtu akasema nimempiga nikarudi jela, Maana hawa watu nimesha waogopa sasa!

Nikatembea nikafika stesheni ya treni nikavuka zile reli nashuka tu huko chini sijui hata naenda wapi, nilitembea sana, paka nikafika sehemu nikakuta msitu, mwanzo nilijua ni pori tu kumbe ni msitu mkubwa, Na jioni ilikuwa imeshafika, nikasema kuliko usiku unikute mtaani ni bora unikute msituni, maana mtaani hawachelewi kuniita mwizi, yani kwa yaliyonipata watu nikawa nawaogopa sana, nibora nikutane na wanyama wakali lakini si watu,

Basi nikazama msituni, natembea tu huko, giza likaingia nikawa sioni tena mbele, nikasema nipande juu ya mti nilale ila nikaogopa nikipitiwa na usingiza nikaanguka itakuwaje, Basi nikaingia kwenye kichaka nikatandika majani nikalala,
Ajabu nikawa hata siogopi, yaani nikaona kawaida sana utadhani nipo nyumbani,

Kweli bana kuka pambazuka, nikatoka kichakani nikaendelea kutembea, nikatembea sana huko msituni, nikisika sauti za watu naingia kichakani nanyuti, wanapita unakuta ni watu wamebeba kuni, basi natoka naendelea kutembea,

Sasa njaa ikaanza kuuma, nikawa natafuta angalau matunda pori nile, kweli nikakuta sehemu vimti flani hivi kinakuwa na vitunda vidogodogo kama vigololi,vikiiva vinakuwa vyeusi, vitamu ukila, basi nikakinga shati kwa mbele nikaanza kuvichuma, nikavichuma vingi tu nikaanza kula huku natembea, kufika mbele nikakuta mto umepita mule msituni, nikashuka mtoni nikanywa maji yakitosha tu, ni machafu lakini sikujali,

Nikakaa pembeni ya mto pale nikamalizia vitunda vyangu, nikanywa maji tena nikajiskia fresh sasa, nikavuka ule mto nikaendelea na safari yangu, nikatembea mpaka msitu ukaisha nikatokea kijijini,

Itaendelea
Aisee mkuu pole sana. Shusha mambo
 
SEHEMU YA SABA

Ilipoishia,

Basi ikawa ndo mchezo wetu, yaani kwa zile wiki mbili nlizokaa homu niliibutua sana ile mbususu

Endelea,

Basi nikakaa pale nyumbani takribani wiki mbili, hatimae muda wa kurudi chuo ukafika, nikapaki kila kilicho changu nikadandia chuma huyoo kurudi Dar, ila moyoni sijaridhika kabisa kumuacha mtoto Happy maana alikuwa ameshaniteka akili, nikiwa kwenye gari namuwaza yeye hasa tulipokuwa tunafanya yetu, kwa vile nlichukua namba zake basi tukawa tunachati karibu safari nzima.

Tuliahidiana mengi, tukaahidiana kuoana, pia akasema atafanya mpango aje Dar maana anti yake anakaa Dar.

Basi nikafika chuo, shule ikaanza kama kawa inaanza kama haitaki vile ila ngoja ichanganye ndo utaimba haleluya, Basi muda mwingi nikawa natumia kuchat na Happy, sometimes hata nikiwa darasani, usiku ndo usiseme tulikuwa tunaongea mpaka masikio yanauma.

Nikawa kila nikikaa nawaza tu ile siku ya kwanza tulivyofanya, yaani niliona dunia imebadilika nikaingia ulimwengu mwingine kabisa, daah jamani raha sana.

Sasa nikawa hata nikiwa nasoma mawazo hayo yananijia najikuta nimeacha kusoma naanza kuwaza hayo maujinga, Nikawa sasa kila nikimwona msichana mwili unabadilika, nahisi joto, mawazo yananijia najikuta namvua nguo kimawazo na kuanza kufanya nae kimawazo halafu napata raha eti.

Basi nikawa na tabia naenda kukaa kwenye kimbweta ambacho kwa mbele kuna wadada waliovaa sketi fupi, halafu naanza kula chabo kiaina, najifanya nasoma kumbe nakula chabo, natengeneza mawazo ya kimapenzi tu kichwani.

Hii hali ikanisumbua sana, nikajikuta natafuta video za ngono naanza kutazama basi zinanisisimua kichizi, mwisho nikapata solution, nikaanza kujichua, Yaani hizi tabia sikuwa nazo ila siku nilipokutana na Happy ndo imeharibu kila kitu, Yaani muda mwingine natoroka darasani naenda chooni kujichua, ikawa balaa mzee.

Nikawa na video zangu za ngono kwenye Pc, basi natoroka naenda chooni, nafunga mlango nawasha pc, nachomeka ear fone, naangalia video za ngono halafu naanza kujichua.

Daah, basi ndo ikawa tabia yangu, kujichua kwa kwenda mbele, kwa siku naweza jichua mara tatu mara nne, Sometimes nakaa nawaza, Happy umeniletea nini hiki, mbona ntajiharibu sasa, Nikiwaza nitafute demu ndo siwezi maana naanzaje, Happy mwenyewe nlimuotea sababu ni wa bushi, hawa wa chips mayai nawezaje.

Sasa siku nikakaa nikawaza sana, hivi mimi Akili sina nnavyojichua hivi, si baadae nitakuwa hanisi, nitakuwa siwez tena kazi, sasa hata nikija kuwa na maisha mazuri halafu kazi hamna ndo itakuwa nini sasa.

Nikasema lazima niache hii tabia, ila ntaachaje sasa, Basi bana katika stori stori na majamaa wakagusia ishu za madada poa, wakataja maeneo sjui Kimboka, sijui wapi, Nikasema sasa hapa ni bora nijichanganye huko kuliko kuendelea na hii tabia yangu.

Nakumbuka siku hiyo nikajikoki naenda Kimboka, ila nikawaza nikionekana huko si itakuwa story ya town, nikasema poa, Ikafika usiku kama saa tatu hivi, nikashuka Ubungo nikanunua kofia, nikatinga kofia yangu nikadandia daladala huyoo hadi Buguruni, Nikakuta kumechangamka balaa kama sio usiku vile.

Basi nikatembea Hadi hapo sehemu, Ebwanaeeee asikwambie mtu, wadada kama wote, ni mapaja tu yana metameta, basi nikasimama zangu pembeni nikawa naangalia, yaani ni kujichagulia type unayotaka, wanene,wembamba, weusi, weupe, watoto, wamama yaan ni wewe tu na roho yako, paka albino wapo mzee.

Basi nikatulia naona machizi wanajiokotea tu wanazama huko ndani ndani, nikajisemea kumbe ni kweli sodoma ipo, Basi nikaona dada mmoja kamkwida jamaa anataka hela yake, jamaa akampiga bonge la bao alafu akamwambia usinizoee, jamaa akasepa, basi huruma ikaniingia, nikamfata yule dada nikamuuliza ni nini kwani, akasema jamaa wameenda nae short time halafu kamdhulumu hela yake, nikamuuliza sh ngapi akasema buku tatu, basi nikatoa buku tano nikampa, alifurahi sana, akaniona nna roho nzuri balaa.

Basi akanipeleka kule ndani ya baa akanitafutia kiti nikakaa nikaagiza soda, akasema nikae pale nisiondoke anakuja, Basi akawa anaenda anakaa halafu anakuja, tunapiga stori kidogo halafu anaondoka tena, ikawa ndo hivyo, akaniambia nimsubiri akimaliza tuondoke wote tukalale, nikasema sawa, kimoyo moyo nasema Hivi akili sina ndo mimi nimekuwa hivi kweli??

Haya bana, ilipofika kama saa saba hivi usiku akaja akanichukua twende zetu, Basi tukatoka akaita bodaboda akatupeleka huko ndani ndani kumbe ndo kwake, Tukaingia ndani ana kiitanda kameza cha tv na vitu vidogo vidogo, Basi akawasha tv pale tukawa tunaangalia huku tunapiga stori stori.

Akaniambia yeye anaitwa Jane, akanipa historia yake pale, Basi tuliongea mengi.
Sasa ikafika muda wa kulala, bana mtoto akaanza mambo, haya mambo nlikuwa nayaona kwenye zile video zangu tu sasa leo nakutana nayo live live mbona balaa, Mtoto alinilegeza balaa, kiufupi anajua Mambo, Basi mtoto akataka nitumbukize, sijui akili zilinijia wapi nikakumbuka kondom, akasema pale ndani hakuna kondom, nikasema bila kondom mi sifanyi, akanilazimisha balaa, yaani ikawa mkuku mkuku pale ndani, ye anataka hivyo hivyo mi nataka kondom, basi kukuru kakara kama nusu saa nzima, mwisho akachoka, nikaona kainuka kafungua mlango akaondoka.

Nikabaki nawaza hivi mimi nafanya nini, nimekuja kuwaje paka nakuja kulala kwa makahaba, Mara mlango ukafunguliwa akaingia, mkononi kashikilia pakti za kondom, Nikasema hapo sawa, Basi nikala mzigo pale vizuuuuri, mtoto kajaa ufundi balaa, Basi tukalala mpaka asubuhi, Asubuhi wanakuja rafiki zake pale, ni wale nilikuwa nawaona pale wanajiuza, akawa anawatambulisha kuwa mi ni shemeji yao, basi sawa, nikakaa mpaka mchana tukala ugali fresh, Nikaondoka zangu kurudi chuo.

Itaendelea
hii chai tupu ulianza vizuri
 
Back
Top Bottom