Hii tabia ya kuanza kufanya uchambuzi wa kuwalinganisha viongozi wetu wakuu naona ingali bado inaendelea, binafsi nilimsikia Mhe. Rais mara kadhaa akikemea jambo hili lakini bado kuna watu tena wateule wa rais wanaendelea na hii tabia
Uwaziri ni cheo cha heshima sana sasa inakuwaje mtu anaacha...
Ndugu Wana jamvi nimetafakari sana hatma ya nchi yetu endapo CCM itashindwa kusimamia majukumu yake hususani rasilimali za nchi yetu,hii ni kutokana na ukweli kwamba vyama vya upinzani naona havina sera ya ulinzi wa rasilimali wala havijali kabisa.
Aidha sababu nyingine ni kwamba vyama vyetu...
Chama chochote kitakachoongoza kambi rasmi ya Upinzani kisije kikaiga siasa za hovyo za Chadema za kutoka kuwa kambi ya Upinzani hadi kuwa kambi Upingaji
Ninavyojua Zito alivyo mtaalamu wa kusoma alama za nyakati endapo atafanikiwa hatakuwa Kama Mbowe kwa kupinga kila kitu
Chadema imekosea...
Chadema wamekuwa na tabia za hovyo na upotofu mkubwa kuhusu Vyama vingine vya upinzani hapa nchini,wamekuwa arrongant huku wakiamini kuwa wao pekee ndiyo chama Cha upinzani huu ni ubinafsi na ujuha
Ukifuatilia historia ya harakati zao utathibitisha hili pasina shaka kabisa, mfano;
Chadema...
Kabla ya "Think Tank" kuamua kukubali yaishe kuhusu kampuni ya watu, Chadema ilikuwa very strategic na ilikuwa ikifanya maamuzi ambayo kwa kiasi fulani yalikuwa fair
Gia za angani za mwaka 2015 ziliasisi enzi mpya hii ilikuwa ni kuelekea Uchaguzi Mkuu uliofanyika Mwaka huo, baada ya Uchaguzi...
Yesu Mwokozi wa Wakristo enzi za harakati zake za kufundisha alifika mji aliozaliwa Bethelehemu akiwa amebebwa na Farasi ikiwa aina ya usafiri aliotumia.
Farasi yule alishangaa kwa furaha wakati akiingia katika mji ule kuona watu wamejitokeza wamejipanga barabarani na wengine wakitandika nguo...
Ni Sasa CHADEMA wameshafanya makosa makubwa ambayo yatawapa taabu sana huko mbeleni historia haitawaacha Salama.
Dunia Sasa iko kwenye vita kubwa ya covid19, hili ni tukio kubwa kihistoria vizazi na vizazi watajifunza hili Janga Kama ambavyo leo historia inazungumzia WW-I na WW-II au kuhusu...
Joseph Selasini ni mbunge wa Jimbo la Rombo Mkoani Kilimanjaro kwa tiketi ya chama Cha Demokrasia na Maendeleo
Hivi karibuni wakati akitoa mchango wake bungeni,Mhe.Selasini aliwakumbusha wapinzani na watanzania kuwa Shabaha ya kuwepo kwa mageuzi siyo kupinga Kila kitu au kubeza kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.