Search results

  1. Operand

    Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    kazi pekee ya kumsaidia mwanamke ni kumbebea mtoto ili akapike tule.. kumpasulia kuni.. kutandika kitanda wakati akiwa bafuni anaoga, baada ya hapa tunacheza mechi.. sina zaidi
  2. Operand

    Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    safi sana kaka kila mtu na sheria zake hapa mjini. Piga sana deki kwanza vifaa vya deki ni vya kisasa sana..
  3. Operand

    Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    basi njoo nikufue na kukudeki mpenzi wangu joa.. uje slow slow, usifoke!!
  4. Operand

    Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    mi mwanamke yeyote ambaye anaweza kufokeana na mumewe huwa namuona hajui sifa za mke bora mwanamke ambae anataka eye to eye war, ni tatizo TANGA HAKUNA FEMINISM, WALIWEZAJE? NDOA IKIVUNJIKA TANGA UJUE NI KIFO KIMEINGILIA KATI
  5. Operand

    Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    utauweza ukewenza na Sweet16 ?? HAMTANIUA NA MAJUKUMU NYIE? NIFUE NIDEKI NIWAPIKIE? HUKU MKIANGALIA KARA SEVDA
  6. Operand

    Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    Joanah na Sweet16 MMOJA WENU NIMEMPENDA NA NITAMUOA NGOJA NIENDELEE KUFOKA NIONE UVUMILIVU WENU
  7. Operand

    Wanaume naomba mnisaidie hapa

    njoo inbox maya
  8. Operand

    Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    Muulize kwanza mwenyezi mungu ambae hakumuumba mwanamke, bali akamtoa tu ubavuni mwa mwanaume.. Yaani nikubebe katika uumbaji halafu uje unifanyie kiburi? Haiwezekani
  9. Operand

    Nahitaji shamba la kununua

    shamba lipo kibaha. nipe namba zako nikuunganishe na mwenyewe myajenge
  10. Operand

    Ajira Kuwait

    Hio 190KD ni sawa na dola 58. so mshahara haufiko hata laki na nusu
  11. Operand

    WanaJamiiForums nakuja kwenu kukiri maisha ni magumu, naomba mnisaidie nipate kazi

    Tumeshasahau mada sasa tuna chat.. mkuu pole sana
  12. Operand

    Je, huyu mlinzi wa Tundu Lissu anauwezo wa kumlinda dhidi ya jaribio lolote endapo litatokea?

    sasa mjomba unataka lissu alindwe na jini? hata alindwe vp one day atakufa tu na hakuna ajuae atakavyokufa. Dont judge too much
  13. Operand

    Tabia ya kutopokea namba ngeni/namba mpya

    kumbe ukijiajiri nndio hupokei simu za kikazi?
  14. Operand

    Gharama ya kununua Radi huko Rukwa ni Tsh ngapi? Je, naweza fanyiwa Delivery?

    sumbawanga sehem gani mkuu dadavua hii ishu in and out
  15. Operand

    Nimechukua maamuzi magumu katika safari yangu ya kusaka utajiri

    Wajuba wanasoma kimya kimya tu nao wanataka watoke.. Kumbe Iringa kuna ndumba utajiri eeh
  16. Operand

    Ulishawahi kutengwa na marafiki?

    Umomi, kila hatua ya maisha huwa ina watu wake. Fikiria marafiki uliokuwa nao miaka 15 nyuma, bado unao wote? Hao wanaokutenga sasa, assume expire date yao imefika and move on. and one thing more, keep golden people closer. Only those who lift you up when u are down to the shadow of death..
  17. Operand

    Hivi unawezaje kukataa ombi la uchumba bila kumvunja moyo sana mwenzio?

    wanawake wa .com mnaona mkiolewa mkiwa under 25 ni kama mnazeeshwa. Endeleeni kujishaua tu, mtaishia kuwa masingo mama ilhali waoaji walikuwepo. Halafu ukichunguza sana unakuta hakuna sababu ya msingi ya kukufanya usiolewe ukiwa na 20-25yrs. Utakuta ni kudanga tu na kujifanya mnatafuta maisha...
  18. Operand

    Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

    To be honest kwangu nilivunja laini yangu ya Tigo ambayo niliisajili kwa alama za vidole sababu ya kubadilishiwa bando kutoka 2000 mpk 3000 per week Baadae nikakutana na watu wao wa sales & promo wanajinadi kusajili laini za chuo. Nikawaeleza kisa changu, wakanichongea laini mpya yenye special...
Back
Top Bottom