kazi pekee ya kumsaidia mwanamke ni kumbebea mtoto ili akapike tule..
kumpasulia kuni..
kutandika kitanda wakati akiwa bafuni anaoga, baada ya hapa tunacheza mechi..
sina zaidi
mi mwanamke yeyote ambaye anaweza kufokeana na mumewe huwa namuona hajui sifa za mke bora
mwanamke ambae anataka eye to eye war, ni tatizo
TANGA HAKUNA FEMINISM, WALIWEZAJE?
NDOA IKIVUNJIKA TANGA UJUE NI KIFO KIMEINGILIA KATI
Muulize kwanza mwenyezi mungu ambae hakumuumba mwanamke, bali akamtoa tu ubavuni mwa mwanaume..
Yaani nikubebe katika uumbaji halafu uje unifanyie kiburi?
Haiwezekani
Umomi,
kila hatua ya maisha huwa ina watu wake.
Fikiria marafiki uliokuwa nao miaka 15 nyuma, bado unao wote?
Hao wanaokutenga sasa, assume expire date yao imefika and move on.
and one thing more, keep golden people closer. Only those who lift you up when u are down to the shadow of death..
wanawake wa .com mnaona mkiolewa mkiwa under 25 ni kama mnazeeshwa.
Endeleeni kujishaua tu, mtaishia kuwa masingo mama ilhali waoaji walikuwepo.
Halafu ukichunguza sana unakuta hakuna sababu ya msingi ya kukufanya usiolewe ukiwa na 20-25yrs.
Utakuta ni kudanga tu na kujifanya mnatafuta maisha...
To be honest kwangu nilivunja laini yangu ya Tigo ambayo niliisajili kwa alama za vidole sababu ya kubadilishiwa bando kutoka 2000 mpk 3000 per week
Baadae nikakutana na watu wao wa sales & promo wanajinadi kusajili laini za chuo. Nikawaeleza kisa changu, wakanichongea laini mpya yenye special...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.