afadhali umeiona! Naomba namba za TCRAwaongo sana wanafanya promotion ya uongo tcra wapo wapi wawathibiti hao tigo wanatuibia..
Huyu jamaa tigo yake imemuudhi hadi kaivunja
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unamruka ukuta nani mkuu?To be honest kwangu nilivunja laini yangu ya Tigo ambayo niliisajili kwa alama za vidole sababu ya kubadilishiwa bando kutoka 2000 mpk 3000 per week
Baadae nikakutana na watu wao wa sales & promo wanajinadi kusajili laini za chuo. Nikawaeleza kisa changu, wakanichongea laini mpya yenye special namba
Toka May nakula dakika 250 all net, Gb 1.3 na sms 100 weekly.
Siku wakibadili nami naruka ukuta.
MALALAMIKO MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA WADAU:
Habari za mida hii wakuu, hivi haya mabadiliko ya bando za Tigo ni kwangu tu au kwa watu wote? Maana daah bando zimekuwa ghali sana kwa sisi Wananchi wanyonge.
=====
---
---
---
---
---
---
Tigo wamepandisha bando toka 1500 mpaka 3000 kwa wiki, yaani mbaya sana , tushaurini mtandao wa kuhamia.
=====
WADAU WENYE MTAZAMO TOFAUTI:
---
---
---
Sent using Jamii Forums mobile app
mwijako ndio bando gani mkuu?Unamruka ukuta nani mkuu?
Muulize mwijako kamwaga mtondoro wiki nzima!
Nomino siku hizi ni bando?mwijako ndio bando gani mkuu?
usiweke vitu visivyohusika ndo mana unatuchanganya.Nomino siku hizi ni bando?
Pole.usiweke vitu visivyohusika ndo mana unatuchanganya.
Mnauza vifurushi halafu mnatupangia matumizi mmetoka dakika za usiku mmehamia longa nae.
Nipe dakika zangu zote nijue nahangaika nazo vipi.