Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,081
- 2,487
- Thread starter
- #161
inategemeana Ntu na Ntu Nkuu.
Enhe endelea
inategemeana Ntu na Ntu Nkuu.
Mmesikia wavulana, hapa wanatakiwa wanaume watoe ushauri! Wavulana mpite tu kwa kusoma tunachoandika wanaume!
Jibu hapa ni yes & no!
Inategemea na msingi wa mahusiano yenu! Nitarudi, ngoja niwaachie wanaume wenzangu!
We kwa nini usimtafte Bibie ..??
Wenda na yeye Anajiuliza kama wewe unavyo jiuliza kwa nini umtafuti.
uyo anachokifanya kwako anakuandaa kuwa waifu matilio ndio mana ataki kukusumbua kukupigia pigia masimu ovyoo we kuwa mpole wanaume kama uyo wako mwisho wake uwa ni kutangaza ndoa tu hakuna jingine
inawezekana anakupenda sana tuu,ila mnaviziana nani amuanze mwenzie kwa salam,mimi nnae wang nampenda sana,ila sometimes inawez katika siku zaid ya tatu no communications kwa sababu ya viburi vyetu kuoneshana nan bora zaid ya mwenzie,ila nshampa suspansion ya mwezi mmoja na nusu hivi ajifunze maisha,na huenda huyo jamaa yako nae huko anaomba ushaur kama wewe,la msingi hapo acheni ujinga furahieni kipindi hiki mko pamoja,wewe ukiamka saa 12 asubuhi mpe hi,kisha endelea na kuboresha uchumi wako,akijibu sawa,asipo jibu ni tatizo lake sio lako.
Unawashwa wewe nnakuonaHaya majibu ni ya mvulana...hebu Soma Uzi!? Huu ni wa wanaume...we kivulana unatakanini.. ona Sasa unavyoharibu mfyuuu!
Ugumu ni asili flan anayozaliwa nayo mtu asee na akijaribu kubadilika awe mlain anakua kituko kwahiyo vumuliasasa huoni unajichosha pia maana unaachana na watu kwasababu ya ugumu?ugumu ndio nini kwenye mapenzi
Ugumu ni asili flan anayozaliwa nayo mtu asee na akijaribu kubadilika awe mlain anakua kituko kwahiyo vumulia
Ndo hivyo inakuaga mwanaume mgumu ustegemee atakwambia I love u nyingi,, ila Ni rahis kujua kama anakupenda ukimwambia shida yako utaona tu ni jins gan anavyojitoa kwaajili yako, Mara nying upendo wake unakuwa wa vitendo tu ila siyo kuongea au kuwasiliana kila saaumenikumbusha mbali
Kuna mwamba alikuwa mgumu mgumu design hio unayo elezea nikawa nalalama sana kuna siku akanitumia text kaweka na ‘uwiii’ it felt so weird
Pia nina bahati mbaya kuwa na watu wagumu wagumu nadhani kuna shida upande wangu pia
Mambo mengine yapi,,, wakati hamwasiliani?.. akikupigia kutaka kufanya mapenzi Ndo mnawasiliana nawewe unasema kila kitu kipo sawa..
Tatizo you don't want to trust your instincts. Unaona redflag kabisa but unajifanya huoni..ACHANA NA HUYU MWANAUME.
Nalifanyia utafiti@mjomba fujoloviesundy
Eti una majibu
Kiukweli mahusiano ni muhimu sana kwenye relationship though haya justfy kama ndo unapendwa sanaa...mwingine aneza akusalimie vile unataka na asiwe mkweli na anaeza asukusalimie akawa mkweli au muongo its un predictable.Ushauri wangu jaribu kuangalia factors zingine na siyo hiyo tuu ya mawasiliano.For me when someone truly loves you utajua tuu acha hayo mambo ya mawasiliano, outings, money giveaway...na vingine.Mbona mi najuaga kama huyo ni feki huyu ni real.A a man.
You just see it
njoo inbox mayaNipo chuchu 🤣🤣 mbona unanifokea sasa?
Hii ni kweli kabisa huyo mtu anakupenda. Sio wanaume wote wapo active kwenye communication. As long as anakupenda na ameridhika na ww basi yeye yupo tuliiiiii ana uhakika na ww.
Shida ipo kwako bibi ww, kimuhemuhe, Roho isiyotulia kama pishi la Bisi, Upo nyonyo....?
Njoo nikupende kwa dhati kabisa msemakweli kipenzi chakoHeee aisee