Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,623
Hapana usifikirie hivyo. Nakwambia ukweli sababu nimewaona waliofanya kama wewe......Hivi unanilaani?
Unaweza kuolewa na kuzungumza na mwenzako juu ya masomo yako kuwa unahitaji kujiendeleza kielimu, kisha baada ya hapo then mnaweza pata mtoto na kufanya maisha..