HALMASHAURI ya wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha ,inalishikilia gari la Mauzo la kampuni ya Vinywaji baridi ya Pepsi (SBC)ya jijini Arusha baada ya kampuni hiyo kukwepa kodi kwa kipindi cha miaka 7.
Akiongea mhasibu wa halmashauri hiyo,Magige Chacha alisema kuwa gari hilo aina Eicher lenye namba...
Kigogo wa Juu Mkoani Arusha Anatuhumiwa Kuanza Kampeni za CCM Mkoa Mapema Kwa kumnadi mmoja wa Wagombea wa nafasi ya mwenyekiti Chama hicho mkoa wa Arusha, Kwa Madai kuwa ana Maelekezo kutoka Ngazi ya Juu.
Kigogo huyo amekuwa akiwaita wagombea na wapiga Kura ofisini kwake na kuwapa Maelekezo...
Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha,Kamishina Msaidizi,Justine Msejo alsema kuwa jeshi hilo limewafukuza kazi askari kwa fedheha askari wake watatu kwa kosa la kwenda kinyume na maadili ya jeshi hilo katika tukio ambalo hakuwa wazi.
Msejo akiongea ofisini kwake aliwatahadharisha askari polisi...
Askari Polisi Watatu akiwemo Mkuu wa Kituo cha Polisi Engutoto Jijini Arusha, Mkaguzi Msaidizi Mahamud Jakaya wameswekwa rumande katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha kwa kosa la kupora shilingi milioni 3 za Mfanyabiashara wa Mazao kutoka Mkoani Dodoma, Ramadhani Hamisi.
Inadaiwa kuwa...
MAMIA ya wakazi wa jiji la Arusha wamejitokeza kwa wingi kushiriki maandamano makubwa ya kuhamasisha zoezi la sensa ya watu na makazi yaliyoandaliwa naTaasisi ya dini ya kiislamu ya Twarika Qadiriya mkoani Arusha ambapo wananchi hao walisema wapo tayari kuhesabiwa.
Akiongea mara baada ya...
Wazazi wanaosomesha watoto wao katika shule binafsi ya msingi ya Geen Pasture iliyopo katika halmashauri ya Arusha, wilaya ya Arumeru ,mkoani hapa,wamemlalamikia mmiliki wa shule hiyo kwa kukamata samani za ndani baada ya kushindwa kulipa ada za watoto wao.
Wazazi hao wameiomba serikali...
Doreen Agustino Mrema ambaye ni mke wa mwanasiasa maarufu nchini,Agustino Lyatonga Mrema ameeleza kufurahia maisha ya ndoa na mmewe baada ya mwanasiasa huyo kumpoteza mke wake mpendwa Rose Mrema Mwaka huku akisisitiza mmewe anamridhisha kila kona.
Akizungumza na Vyombo Vya habari Doreen amesema...
Wafanyabiasha vinara wa dawa za kulevya aina ya Mirungi kutoka Nchini Kenya waliokamatwa na magunia 15 mei 14 mwaka huu katika Mji wa Namanga, wanadaiwa kuachiwa katika mazingira ya utata, usiku wa manane huku gari lililokuwa likisafirisha mihadarati hiyo likitoweka kituo cha polisi ...
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Maximillan Iranqe amewataka waganga wanaojishughulisha na tiba asilia mkoani Arusha kuwekeza zaidi katika tafiti za mimea inayotibu maradhi ya mbalimbali kama nchi za barani Asia hususani China.
Pia awataka waganga hao kujiepusha na vitendo vya utapeli ili kuipa...
Mkewe wa ndoa anaitwa Lilian Mbowe sio Irene lakini pia amezaa na aliyekuwa mbunge wa viti maalumu Chadema,Joyce Mukya watoto wawili ni nyumba yake ndogo uhusiano wao uliwahi kuleta mtafaruku sana kwenye ndoa ya wawili hawa kwa sasa hatujui nn kinaendelea
Gazeti la serikali la Habari Leo toleo la Leo Siku ya jumapili limeripoti habari kuwa filamu ya The Royal Tour imegharimu jumla ya kiasi cha sh,7 bilioni hii imekaaje wadau je kiwango hiki kinastahili au hakistahili kazi kwenu wanajamvi nawatakia jpil njema .
Gazeti la serikali la Habari Leo toleo la Leo Siku ya jumapili limeripoti habari kuwa filamu ya The Royal Tour imegharimu jumla ya kiasi cha sh,7 bilioni hii imekaaje wadau je kiwango hiki kinastahili au hakistahili kazi kwenu wanajamvi nawatakia jpil njema .
Arusha,
Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya Jamii(NSSF) umetakiwa kujikita zaidi kusajiri wanachama wapya kutoka sekta zisizo rasmi ili kupata wanachama wengi wa kujiunga na mfuko huo na kuacha kutegemea sekta rasmi pekee.
Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa wilaya ya Arusha, Saidi Mtanda wakati...
aliyejemga kaburi maarufu anaitwa Sabasita ni askari wa muda mrefu nchini kikosi maalum unajua kazi aliyoifanya mpaka sasa nadhani amefanya vyema maana anajua aliyoyafanya
Hongera sana Mh DC kwa kazi nzuri unayofanya huyu ni miongon mwa viongozi vijana kabisa nchini wanaoonyesha maana ya Dhamana ya uongozi hapa nchini ,hakika Mama ameupiga mwingi kuwapa vijana kama huyu dhamana ya kuongoza wilaya za pembezoni kabisa
Na sisi tuwafunze watoto wetu namba ya kusoma alama za nyakati sio kukariri huyu binti nadhani elimu ya vitendo imemsaidia sana na hapa ndipo tunaona umuhimu wa kuwekeza kwenye elimu kwa watoto wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.