Wakuu Habari
Kuna Kaz Nafanya Ya Ku Test App Ila Inatakiwa Laptop Au Desktop Yenye Windows 10 64 Yenye ARM Processor.
Kwa Wasiojua Ukienda Kwenye This PC, About Utakuta Sytem Type 64, ARM 64 Based Processor.
Kama Unayo Please Confirm Nikupe Kazi Ya Dakika 10 Tu Nitakulipa 50000/=
NB: NAHITAJI...
Habari zenu Wadau Wa Tech
Nimekaa Muda Mrefu Kutokana Na Changamoto Za Maisha Leo Nimeona Bora Nizungumze Na Kuwapa Tahadhari Wote Wanaomiliki Au Wanaopenda Kuja Kununua PC
Laptop Aina Ya Lenovo Ndio Inaongoza Kwa Kupata Hitilafu Katika Motherboard Kwa Reference Ya Data Zangu Za Mwaka Jana Na...
Habari zenu wakuu na poleni na majukumu, Leo ningependa tujue umuhimu wa I RESCUE BAG Kwa Fundi Computer Na Simu, Vitu Hivi Ni Muhimu Sana Kwa Fundi Yoyote Anayetaka Kutoa Huduma Express, Delivery Na Outreach.
IT RESCUE BAG
Ni Mfuko Au Kitu Chochote Kinachoweza Kuhifadhi Vitu Muhimu Ambavyo...
Habari Zenu Wakuu;
Nipo Katikati Hali Fulani Ngumu Sana, Nimeliweka Hili Ila Sasa Nimeshindwa, Nahitaji Msaada, Tena Mkubwa Sana, Maelezo Yangu Ni Marefu Ila Naomba Soma Na Nishauri.
Nipo Kwenye Mahusiano Ya Huyu Binti For 10 Years Since 2011 Tulikutana Shule O Level Mjin Morogoro Akiwa Form 1...
Habari wakuu,
Poleni na hofu mliyonayo juu ya ugonjwa huu a Corona.
Mgonjwa alipatikana KIA then akachukuliwa sampuli kwenda Dar kupimwa.
Lugha rahisi ni kuwa mipaka yetu yote haina hiki kipimo.
So IRDS ya wizara yetu ya afya haiko makini.
Viongozi mjitafakari, siasa na majaribio kwenye...
Kwema Wakuu,
Nina PC Imekaa Store Kwa Muda Almost Mwaka.
Nzima Na Inafanya Kazi
Specification Zake Hizi Hapa.
TOSHIBA C850
RAM 2GB
HDD 320 (Not Included Kama Utahitaji Utaongeza Elfu 30)
Wifi
Bluetooth
SHIDA ZAKE
1. Haina Battery
2. Haina Speaker Za Ndani
3. Kioo Kina Mstari Mmoja (Kama...
PART 2 EP01
Tuijue Laptop Na Tuifungue Kisha Tuifunge.
Wasalaam Wanandugu:
Tumekutana Tena Katika Darasa Letu Huru La Laptop Repair, Na Part 2 Hii Tutakuwa Tunaangalia Matatizo Ya Hardware Tu.
Tuanze Kwanza Na Utangulizi Wa Laptop Kwa Siku Ya Leo...
TUIFAHAMU BIOS MENU NA UMUHIMU WAKE KWA SOFTWARE REPAIR
(PART 1 EP01)
Habari Wanandugu.
Ni Ijumaa ya kwanza leo ya somo letu la laptop repair, na katika part 2 hii tutaangalia SOFTWARE Issues Tu.
Tujue Kidogo Nini...
Habarini Ndugu Wanajf
Baada Ya Uzi Wa Wa Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1609441/
Nilipata Jumbe Nyingi Sana Kila Mtu Akihitaji Mwanga Wa Kujifunza Hii Kitu
Nikaona Sio Mbaya Kama Tutaanzisha Darasa La Laptop Repair Humu At Least Vipindi Vitatu...
Kama Tangazo Linavyojieleza, Natafuta Binti Wa Kukaa Reception Na Kusikiliza Wateja Kwenye Office Ya Computer & Phone Repair
TAFADHARI SOMA KWA MAKINI MAELEZO YANGU.
VIGEZO:
1. Awe Anajua Kutumia Laptop & Smartphone
2. Muaminifu
3. Smart Na Msafi
4. Awe Na Idea Kuhusu (Instagram & WhatsApp...
Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema.
Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop
Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.