Habari zenu wakuu wa kazi mbali mbali
Leo katika pita pita zangu nimegundua vyama vya upinzani vinavuna matunda kwa waliyoyapanda
Asante Sana ushindi wa Magufuli umewatia Adabu umezifumba ndimi na midomo yao michafu hakuna wanchokijua zaidi ya matusi na kupinga kila hatua unazochukua kwa...
Habari zenu wakuu poleni na mihangaiko ya kila siku Binafsi sio mshabiki wa siasa ila napenda kusema ukweli wa mambo navyo yaona.
Asilimia kubwa ya vyama vya Upinzani hawamtaki Rais aliyekuwepo madarakani kwa kumsema vibaya na kumchafua kwenye siasa za kujinadi kuomba ridhaa kwa wapiga kura...
Habari zenu wakuu poleni na majukumu ya kila siku.
Imepita kama miezi 3 hapo nyuma tangu hii hali nianze kuiona aisee ukiwa unashuka na pantoni pale ferry kuanzia kituo cha juu kukata tiketi utakutana na watu wamefunga njia wanauza madafu na bidhaaa ndogo ndogo hamna shida kwa vile riziki ndiyo...
Habari zenu.
Nianze na kuwapa pole na mihangaiko ya hapa na pale pamoja na tuchukue hadhari na Coronale kwa kuzingatia kanuni za Afya.
Leo nimemkumbuka sana rafiki yangu aliedumu kwa masaa 2 tu mwaka 2014 .Ila mpaka leo sijamuona tena, nilikuwa nasafiri ya kwenda Bagamoyo shamba via Mlandizi...
Law of Attraction zina sema Ask Universe and universe will give you .
.kupitia
.frequency
.Vibration
.Energy
We attract positive & negative through our thought.
Budha say " every thing start in mind "
Dunia ni mama.
Inatupa malazi, makazi ,na inatutunza kupitia vilivyomo ndani yake. misitu...
Habari za asubuhi mwanajamii.
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa hotuba za Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli ila hapa niliona mapungufu kwa wasimamizi wa ulinzi wa rais.
Mnamo tarehe 16.09.2019 Rais akiwa katika muendelezo wa ziara zake Mkoa wa Mtwara wilaya ya Nachingwea
Rais alisimamishwa...
Habari za weekend Wakuu &wanajamii
Nimeleta kwenu swali hilo tujifikiririshe kidogo
Nakumbuka mambo mengi ambayo mpaka leo najiulizaga
kwa nini nilichelewa kufanya maamuzi mpaka zile fursa zikanipita nakubaki kuwa kumbukukumbu na story tu.
"2009 nilihitimu kidato cha nne wakati huo nafasi...
Habari za jioni wanajamii Usiku huu wakati natoka katika majukumu yangu ya kila siku. nimekatiza katika moja ya barabara mitaa ya Mbagala rufu barabara ya kuelekea stendi nikiwa na Toyota Alphard aisee nimepita kwenye
tuta mpaka nikajiuliza mnaoweka matuta mna akili timamu kweli? hivi...
Mambo vipi wanajamii poleni na mvua za kuikaribisha pasaka . me ni mgeni Jukwaani lakini napenda kushare nanyi hili.
Mke wangu ni mjamzito na mtoto atakayezaliwa natarajia Jinsia ya me na umebaki mwezi mmoja tu ajifungue. sasa sitaki majina ya kurithi wala ya kutokea upande mmoja wa mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.