Mapico
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 556
- 1,270
Habari za jioni wanajamii Usiku huu wakati natoka katika majukumu yangu ya kila siku. nimekatiza katika moja ya barabara mitaa ya Mbagala rufu barabara ya kuelekea stendi nikiwa na Toyota Alphard aisee nimepita kwenye
tuta mpaka nikajiuliza mnaoweka matuta mna akili timamu kweli? hivi kweli unaweka tuta urefu wa karibu mita moja ili iweje Acheni roho mbaya.
tuta mpaka nikajiuliza mnaoweka matuta mna akili timamu kweli? hivi kweli unaweka tuta urefu wa karibu mita moja ili iweje Acheni roho mbaya.