Mapico
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 556
- 1,270
Habari zenu.
Nianze na kuwapa pole na mihangaiko ya hapa na pale pamoja na tuchukue hadhari na Coronale kwa kuzingatia kanuni za Afya.
Leo nimemkumbuka sana rafiki yangu aliedumu kwa masaa 2 tu mwaka 2014 .Ila mpaka leo sijamuona tena, nilikuwa nasafiri ya kwenda Bagamoyo shamba via Mlandizi Road; sasa kuna Costa na Noah za kwenda huko uzuri, nilipanda Costa.
Nikakaa siti zile za nyuma kabisa za tuta mali yako, mabonde changamoto. Nafika kukaa tu pembeni yangu, nikamkuta huyu mdada mzuri na mcheshi tukasalimiana baada ya muda tukazoeana kama tunajuana miaka mingi.
Baada ya story nyingi tukafika Bagamoyo tukaagana bila kuachiana contact. Nilikuwa nawahi shamba kwenye mananasi maana mzigo ulikuwa unahitajika sokoni haraka.
Basi nikampotezea hapo mpaka leo sijamuona tena. Jina lake anaitwa Bernadetha Lutengi alipokuwa anaishi ni maeneo ya Nia Njema Secondary Bagamoyo. Sijui huko wapi.
Unaweza ku-share mtu ambaye ulikutana naye mara moja unatamani ukutane naye tena.
Nianze na kuwapa pole na mihangaiko ya hapa na pale pamoja na tuchukue hadhari na Coronale kwa kuzingatia kanuni za Afya.
Leo nimemkumbuka sana rafiki yangu aliedumu kwa masaa 2 tu mwaka 2014 .Ila mpaka leo sijamuona tena, nilikuwa nasafiri ya kwenda Bagamoyo shamba via Mlandizi Road; sasa kuna Costa na Noah za kwenda huko uzuri, nilipanda Costa.
Nikakaa siti zile za nyuma kabisa za tuta mali yako, mabonde changamoto. Nafika kukaa tu pembeni yangu, nikamkuta huyu mdada mzuri na mcheshi tukasalimiana baada ya muda tukazoeana kama tunajuana miaka mingi.
Baada ya story nyingi tukafika Bagamoyo tukaagana bila kuachiana contact. Nilikuwa nawahi shamba kwenye mananasi maana mzigo ulikuwa unahitajika sokoni haraka.
Basi nikampotezea hapo mpaka leo sijamuona tena. Jina lake anaitwa Bernadetha Lutengi alipokuwa anaishi ni maeneo ya Nia Njema Secondary Bagamoyo. Sijui huko wapi.
Unaweza ku-share mtu ambaye ulikutana naye mara moja unatamani ukutane naye tena.