Natamani muda ungerudi nyuma ili niweze kuanza upya, lakini ndo hivyo muda si rafiki tena!
Natamani muda ungerudi nyuma ili niweze kurekebisha makosa yangu, lakini ndo hivyo muda si rafiki tena!
Natamani muda ungerudi nyuma ili niweze kuisikia hii sauti ya sasa ndani yangu, lakini nagundua...
Kwa kweli hawa watu inabidi tuwape tu maua yao ikibidi hata sanamu wachongewe tu! Imagine majukumu wanayobeba:
Kutunza kiumbe tumboni
Kulea familia (watoto na baba yao)
Kuweka sawa mazingira ya nyumba
Kutelekezewa watoto
Wengine wananyanyaswa
Kususiwa chakula
Kukimbiwa nk....
Aisee mambo ni...
Kwema wakuu,
Kwa wale wapenzi wa burudani hasa music wa hapa home sweet home (bongo flavor) wa kizazi cha kati na cha sasa, utakubaliana na mimi kwamba katika collabo zilizowahi kutokea na kusumbua bongo kila kona, katika nyingi zikitajwa basi hizi haziwezi kukosa kwenye list;
1. Dhahabu ya...
Once again leo tupeane hints kidogo kuhusu hatima ya maisha yetu. Katika maisha tunayoishi wanadamu hasa vijana, tunakutana na vipengele vingi kiasi kwamba mtu hadi anagonga 40 bricks ngoma bila bila.
Mimi Number ni 26 na wewe kijana mwenzangu ambae upo kwenye 20's, 30's na kidogo wewe wa 40's...
Nawasalimu wakuu.
Kuna hii habari ya muda mrefu miaka mingi kuhusu hiki kiumbe cha ajabu, ambapo mpaka leo jibu la uwepo wake ni utata.
Ni kuhusu huyu samaki mtu (nguva) inasemekana yupo katika ulimwengu huu, ila yupo katika umbo gani hapo ndo mtihani kwa maana kila mtu atakupa jibu lake...
Heshima kwenu wakuu.
Niende kwenye mada. Leo nilikuwa na jamaa yangu wa kitambo toka wadogo tunabadilishana mawazo kidogo, sasa katika story za kuhusu maisha tukafikia kwenye mambo ya mafanikio "utajiri" aliniambia vitu vya kushangaza na kutisha, nikasema nije niwaulize je ni kweli? Hii kitu...
Jana nimepata kufika kwa ndugu zangu wakina Komba, Mapunda na Nyoni. Kwa kweli ni wakarimu sana, kufika tu jana hiyo hiyo nikakaribishwa nyama ya porini na ubaga.
Nipo hapa Mshangano kwasasa ila badae jioni nitasogea maeneo ya Lacharz hapo nimesikia panakucha sana mida ya night.
Songea pako...
Wakuu kwema,
Niende kwenye mada. Ni usiku mnene nikiwa sina hata lepe la usingizi nikiwa natafakari mambo mawili matatu tunayopitia wana wa Adam.
Sasa kama binadamu na mmiliki wa Dunia kijiji "smartphone" pale tunapotafakari kuhusiana na jambo, kitu au maisha kiujumla, wengi wetu huwa tuna...
Wakuu kwema,
Niende kwenye mada. Aisee leo nimezunguka sana kwenye hizi pharmacy zetu za mtaani lengo tu nipate kununua kinga "zana" kwaajili ya shemeji yenu, lakini mpaka muda huu naandika huu uzi sijafanikiwa kununua nimeamua tu nirudi home.
Issue hiko hivi, mimi na shemeji yenu tuna kawaida...
Wakuu habari za wakati, nina imani tu wazima wa afya ila kwa wagonjwa Mungu awape tumaini. Leo Number ni 26 nimeona ni share nanyi kitu kidogo.
Yafuatayo yatakusaidia wewe na mimi walau kidogo tukapunguza kuwa na "makasiriko" kati yetu na kufanya amani itawale:-
1. MUNGU. Kuna msemo...
Mitaa inakuaminia sana mwana unajua kuchana. Siku hizi watoto wadogo wanaleta dharau sana! Ngonjera zimekuwa nyingi, wanapewa tu "airtime". Fanya kweli muhuni urudi kwenye "mainstream".
Another day! Another hustle!, naimani tu wazima wote.
Ni siku nyingine tena tunashirikishana juu ya hiki kitu kinachoitwa "Furaha ya kweli" ni kitu gani!. Naimani kila mmoja ana tafsiri yake juu ya furaha ni kitu gani, yawezekana ukawa unafahamu furaha labda ni kuwa na gari zuri, nyumba, mali...
Habari za wakati wakuu, naimani tu wazima na tumeianza weekend yetu vizuri.
Leo ningependa tushirikishane jambo kwa wale ndugu zangu ambao huwa tunajisikia vibaya tunapokosolewa hasa pale unapo post maada au ku comment kitu mtandaoni. Imekuwa kawaida kuona mtu akipokea negative reaction pale...
Habari za jumapili wakuu, naimani wote tu wazima ila kama ni mgonjwa Mungu akupe nafuu katika ugonjwa wako.
Leo napenda tujifunze na kutafakari machache juu ya maisha yetu pale nyakati zinapokuwa ngumu na huoni msaada mbele yako.
Wengi wetu maisha yetu tunavyoishi ni Mungu mwenyewe ndio anajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.