Muombe Mungu akusaidie mpaka unapouanza mwaka wa 50 uwe na uhakika wa kupata vitu hivi bila wasiwasi ili umalize salama uzee wako

Number ni 26

JF-Expert Member
Apr 3, 2019
1,478
2,836
Once again leo tupeane hints kidogo kuhusu hatima ya maisha yetu. Katika maisha tunayoishi wanadamu hasa vijana, tunakutana na vipengele vingi kiasi kwamba mtu hadi anagonga 40 bricks ngoma bila bila.

Mimi Number ni 26 na wewe kijana mwenzangu ambae upo kwenye 20's, 30's na kidogo wewe wa 40's. Hakikisha unapouanza mwaka wako wa 50 basi uwe na uhakika wa kupata vitu hivi bila wasiwasi ili umalize salama uzee wako na sio uishie kuchukia watu

1. Uwe na afya njema/bora
Huu ndo mtaji wa kuyafikia mengine yote, kama huna afya njema/bora tegemea kuanguka katika mengine.

2. Uhakika wa matibabu bora
Kijana pambana katika kipindi hiki ili unapouanza mwaka wako wa 50 basi uwe na uhakika wa kupata matibabu sahihi na ya uhakika pale utakapoumwa au kupata itilafu itakayoitaji utibiwe

3. Uhakika wa chakula
Kijana kaza sana ili ukiianza hiyo age uwe na uwezo wa kugonga menu yoyote na wakati wowote bila wasiwasi. Na sio ule kile kitakachopatikana, kwakweli utazeeka mapema ndugu

4. Pesa ya dharula
Kijana pambana kuiweka hii pesa iwe ndani au popote pale mradi ukiihitaji hata ngoma 8 usiku shwaaa unaipata hapo hapo. Ukianza sasa hadi unafika 50 hautakuwa na wasiwasi na kitu kinaitwa dharula.

5. Akiba benki
Hii wote tunaijua sina haja ya kuisemea sana, ila nikumbushie tu kuwa ukianza sasa kuweka akiba hata ya buku buku tu katika umri wako huo wa miaka 25, guess utakuwa wapi utakapogonga decades 5

6. Usafiri
Nadhani wote tunajua changamoto za usafiri wetu hasa mijini, sasa fikiria katika umri huo unavyogombea daladala na watoto wanakupiga vikumbo wanawahi siti af hawakupishi, utaishia kusema watoto wa sasa hawana adabu. Kijana hebu jitahidi katika umri huo umiliki chuma, basi hata ukikosa miliki pikipiki yako safi

7. Nyumba
Yes muhimu kumiliki mjengo wako hata wa vyumba viwili tu inatosha. Ujue ni raha sana kuishi kwako ubuguzwi na mtu sijui mambo ya kodi, mara zamu yako usafi . Yani umefika 50 bado umepanga mbona utawaona watu wabaya.

Hizi ni faharasa nimeona niwashirikishe vijana wenzangu maana na me nipo ndani ya hizo. Kama kuna zingine basi jazia hapo

Naomba kuwasilisha, niko pale nimeshika yangu Number ni 26. I'm out
 
5. Akiba benki

Hii wote tunaijua sina haja ya kuisemea sana, ila nikumbushie tu kuwa ukianza sasa kuweka akiba hata ya buku buku tu katika umri wako huo wa miaka 25, guess utakuwa wapi utakapogonga decades 5
emoji1787.png
Ukifa na miaka 49 pesa zako shwaaa😂💔

Ila Uzi mzuri sana uzingatiwe
 
Once again leo tupeane hints kidogo kuhusu hatima ya maisha yetu. Katika maisha tunayoishi wanadamu hasa vijana, tunakutana na vipengele vingi kiasi kwamba mtu hadi anagonga 40 bricks ngoma bila bila.

Mimi Number ni 26 na wewe kijana mwenzangu ambae upo kwenye 20's, 30's na kidogo wewe wa 40's. Hakikisha unapouanza mwaka wako wa 50 basi uwe na uhakika wa kupata vitu hivi bila wasiwasi ili umalize salama uzee wako na sio uishie kuchukia watu

1. Uwe na afya njema/bora
Huu ndo mtaji wa kuyafikia mengine yote, kama huna afya njema/bora tegemea kuanguka katika mengine.

2. Uhakika wa matibabu bora
Kijana pambana katika kipindi hiki ili unapouanza mwaka wako wa 50 basi uwe na uhakika wa kupata matibabu sahihi na ya uhakika pale utakapoumwa au kupata itilafu itakayoitaji utibiwe

3. Uhakika wa chakula
Kijana kaza sana ili ukiianza hiyo age uwe na uwezo wa kugonga menu yoyote na wakati wowote bila wasiwasi. Na sio ule kile kitakachopatikana, kwakweli utazeeka mapema ndugu

4. Pesa ya dharula
Kijana pambana kuiweka hii pesa iwe ndani au popote pale mradi ukiihitaji hata ngoma 8 usiku shwaaa unaipata hapo hapo. Ukianza sasa hadi unafika 50 hautakuwa na wasiwasi na kitu kinaitwa dharula.

5. Akiba benki
Hii wote tunaijua sina haja ya kuisemea sana, ila nikumbushie tu kuwa ukianza sasa kuweka akiba hata ya buku buku tu katika umri wako huo wa miaka 25, guess utakuwa wapi utakapogonga decades 5

6. Usafiri
Nadhani wote tunajua changamoto za usafiri wetu hasa mijini, sasa fikiria katika umri huo unavyogombea daladala na watoto wanakupiga vikumbo wanawahi siti af hawakupishi, utaishia kusema watoto wa sasa hawana adabu. Kijana hebu jitahidi katika umri huo umiliki chuma, basi hata ukikosa miliki pikipiki yako safi

7. Nyumba
Yes muhimu kumiliki mjengo wako hata wa vyumba viwili tu inatosha. Ujue ni raha sana kuishi kwako ubuguzwi na mtu sijui mambo ya kodi, mara zamu yako usafi . Yani umefika 50 bado umepanga mbona utawaona watu wabaya.

Hizi ni faharasa nimeona niwashirikishe vijana wenzangu maana na me nipo ndani ya hizo. Kama kuna zingine basi jazia hapo

Naomba kuwasilisha, niko pale nimeshika yangu Number ni 26. I'm out
Asante kwa Darasa hili na hivi nakaribia flow ya 5 wacha nizidi kupambana.
 
Once again leo tupeane hints kidogo kuhusu hatima ya maisha yetu. Katika maisha tunayoishi wanadamu hasa vijana, tunakutana na vipengele vingi kiasi kwamba mtu hadi anagonga 40 bricks ngoma bila bila.

Mimi Number ni 26 na wewe kijana mwenzangu ambae upo kwenye 20's, 30's na kidogo wewe wa 40's. Hakikisha unapouanza mwaka wako wa 50 basi uwe na uhakika wa kupata vitu hivi bila wasiwasi ili umalize salama uzee wako na sio uishie kuchukia watu

1. Uwe na afya njema/bora
Huu ndo mtaji wa kuyafikia mengine yote, kama huna afya njema/bora tegemea kuanguka katika mengine.

2. Uhakika wa matibabu bora
Kijana pambana katika kipindi hiki ili unapouanza mwaka wako wa 50 basi uwe na uhakika wa kupata matibabu sahihi na ya uhakika pale utakapoumwa au kupata itilafu itakayoitaji utibiwe

3. Uhakika wa chakula
Kijana kaza sana ili ukiianza hiyo age uwe na uwezo wa kugonga menu yoyote na wakati wowote bila wasiwasi. Na sio ule kile kitakachopatikana, kwakweli utazeeka mapema ndugu

4. Pesa ya dharula
Kijana pambana kuiweka hii pesa iwe ndani au popote pale mradi ukiihitaji hata ngoma 8 usiku shwaaa unaipata hapo hapo. Ukianza sasa hadi unafika 50 hautakuwa na wasiwasi na kitu kinaitwa dharula.

5. Akiba benki
Hii wote tunaijua sina haja ya kuisemea sana, ila nikumbushie tu kuwa ukianza sasa kuweka akiba hata ya buku buku tu katika umri wako huo wa miaka 25, guess utakuwa wapi utakapogonga decades 5

6. Usafiri
Nadhani wote tunajua changamoto za usafiri wetu hasa mijini, sasa fikiria katika umri huo unavyogombea daladala na watoto wanakupiga vikumbo wanawahi siti af hawakupishi, utaishia kusema watoto wa sasa hawana adabu. Kijana hebu jitahidi katika umri huo umiliki chuma, basi hata ukikosa miliki pikipiki yako safi

7. Nyumba
Yes muhimu kumiliki mjengo wako hata wa vyumba viwili tu inatosha. Ujue ni raha sana kuishi kwako ubuguzwi na mtu sijui mambo ya kodi, mara zamu yako usafi . Yani umefika 50 bado umepanga mbona utawaona watu wabaya.

Hizi ni faharasa nimeona niwashirikishe vijana wenzangu maana na me nipo ndani ya hizo. Kama kuna zingine basi jazia hapo

Naomba kuwasilisha, niko pale nimeshika yangu Number ni 26. I'm out
Kwa hiyo wewe kwa kili zako ndogo unadhani kuna mtu havihitaji hivyo vitu kiasi kwamb mpaka uandike ndio watu wavitafute?

Maisha ni daily activity na kila siku watu wanatafuta hayo uliyotaja.
 
Kwa hiyo wewe kwa kili zako ndogo unadhani kuna mtu havihitaji hivyo vitu kiasi kwamb mpaka uandike ndio watu wavitafute?

Maisha ni daily activity na kila siku watu wanatafuta hayo uliyotaja.
Mkuu kwani unateseka kutokea wapi? Mbona me nimetoa faharasa kama kukumbushana tu. Anyway jitahidi kwenye mtihani wa maisha uwe na maksi ya kuvutia. Asante
 
Kwa hiyo wewe kwa kili zako ndogo unadhani kuna mtu havihitaji hivyo vitu kiasi kwamb mpaka uandike ndio watu wavitafute?

Maisha ni daily activity na kila siku watu wanatafuta hayo uliyotaja.
Kwa akili zake ndogo, ndiyo maana ametumia neno, omba Mungu maana siyo kwa uwezo wake muhitaji. Elewa kipengele hicho, kinalinda vipengele vyote alivyovitaja, ila kwa amini Mungu.
 
Back
Top Bottom