Number ni 26
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,478
- 2,836
Wakuu kwema,
Niende kwenye mada. Ni usiku mnene nikiwa sina hata lepe la usingizi nikiwa natafakari mambo mawili matatu tunayopitia wana wa Adam.
Sasa kama binadamu na mmiliki wa Dunia kijiji "smartphone" pale tunapotafakari kuhusiana na jambo, kitu au maisha kiujumla, wengi wetu huwa tuna kawaida ya kucheki na "msuluhishi Google" kujua kasemaje kuhusu kile kinachokutatiza kwa wakati huo.
Kwahiyo nikasema hebu leo niangalie kwenye google history ni kitu gani kime take over kwenye maisha yangu. Katika kupitia pitia mambo/vitu nilivyovitafuta most of the time, nikajikuta napata huzuni tu na kusema kwakweli bado nina safari ndefu kwenye hii Dunia.
Hebu tuambie "Google history" yako huko ina sound vipi?
NB: Huwa sina kawaida ya ku clear history sababu najiamini kwa ninavyovitafuta.
Niende kwenye mada. Ni usiku mnene nikiwa sina hata lepe la usingizi nikiwa natafakari mambo mawili matatu tunayopitia wana wa Adam.
Sasa kama binadamu na mmiliki wa Dunia kijiji "smartphone" pale tunapotafakari kuhusiana na jambo, kitu au maisha kiujumla, wengi wetu huwa tuna kawaida ya kucheki na "msuluhishi Google" kujua kasemaje kuhusu kile kinachokutatiza kwa wakati huo.
Kwahiyo nikasema hebu leo niangalie kwenye google history ni kitu gani kime take over kwenye maisha yangu. Katika kupitia pitia mambo/vitu nilivyovitafuta most of the time, nikajikuta napata huzuni tu na kusema kwakweli bado nina safari ndefu kwenye hii Dunia.
Hebu tuambie "Google history" yako huko ina sound vipi?
NB: Huwa sina kawaida ya ku clear history sababu najiamini kwa ninavyovitafuta.