Iko hivi,Jana nilileta uzi wa namna ya kumsaidia jirani yangu ambaye mmewe aliondoka bila kuaga.nashukuru Kwa walionishauri na nilifanya hivyo igawa siwezi sema hapa nilifanya nini maana msaada sio matagazo hiyo ni sadaka.
Iko hivi,paomoja na kwamba hapa hatuna maisha ya ukaribu sana hasa Mimi...
Iko hivi na niende kwenye mada.
Hapa nilipopanga kuna wapangaji wengine kama wawili hivyo tuko watatu
Mmoja ambaye ni mpagaji mwezetu yeye anafamilia Kwa na hiyo familia ni watoto wawili na mmoja ndio Leo katimiza miezi minne na mmoja ni kama anamiaka mitano hivi
Sasa kisa kiko hivi,Leo asubuhi...
Nilimsikia mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, akiuliza kuwa,"MTU anajianadi kajenga reli,
Kajenga barabara
Kanunua ndege
Anapedwa...n.k
Sasa iweje aogope uchanguzi.
Kwanza Kwa sehem Yangu ninamshangaa Mbowe Kwa sababu yeye anatokea maeneo ambayo Kwa Tanzania ndio tunaamini ni maeneo ambayo...
Kuna watu wanaamini siasa ni mchezo mchafu,lakini pia wakati huo huo kuna watu wanaamini siasa ni sayansi ya hali ya juu sana..maana pale unapotumia Maneno tu ili mtu akuelewe na afanye maamuzi ya kuacha kazi zote siku hiyo ili akupigie wewe kura na huku anajua kabisa yeye hata pata chochote...
Za muda huu wadau.
Niende kwenye mada moja Kwa moja.
Kwa mda mrefu sasa vyama vya upinzani vimetupa sintofahamu ya Kwa nini awamu hii pamoja na kuonekana kuonewa sana ila haijawekeza nguvu kubwa kudai tume huru ya uchanguzi hali wafuasi na wanachana wao mtaani wamejitahidi kusisitiza na...
Za mda huu hapo ulipo..
Iko hivi, Nina rafiki Yangu mmoja ambaye ukweli ni rafiki yangu na tunasaidiana sana.
Rafiki yangu amepitia maisha magumu sana na kuonekana kama hana thamani kwa hawa dadaz. Hiyo ni kwa sababu kila mwanamke aliyekuwa anataka kumchumbia au kuoa alikuwa anamtolea nje...
Za mda huu wadau,
Tukiacha wale ambao wapo kwenye ndoa, nieleze msingi wa swali langu ili wadau muweze kutusaidia wale tusiojua maana ya mume au mke wa mtu.
Iko hivi, watu wengi hasa na mimi huwa tunasema kuwa, "Mimi siwezi tembea na mume au mke wa mtu" lakini katika mazingira fulani fulani...
Za mda huu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Hivyo RAFIKI wa kuchat naye na kubadilisha mawazo pale nafasi inapoatikana,
Ni vizuri asiwe mtu wa mambo mengi na atoe ushirikiano mzuri.
Ikitokea ikafikia kuonana itakuwa na jambo jema maana ndio itakuwa ni ukomavu wa mahusiano ya kirafiki...
Za muda huu wadau,
Niende kwenye mada moja kwa moja, kwa anayejua chuo ambacho kinatoa kozi za Graphics kwa mfumo wa kozi pekee au kwa mfumo wa short course naomba aniambie. Kama itawezekana aniambie na gharama zake.
Maeneo yoyote ila zaidi iwe Mwanza.
Za muda huu usomapo huu ujumbe au Uzi.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Katika siku chache zilizopita tuliamua kuzunguka hapa mjini Mwanza mimi na marafiki zangu ambao hawakai Mwanza. Baada ya kufurahia mazingira ya rock beach pale tuliamua kuvuka kwenda Kamanga na kurudi, nia ilikuwa wale...
Za mda huu wadau wa hapa.
Leo nikiwa sehem na baadhi ya watu tunapiga story.mtu mmoja akasema ni kama amesikia tangazo kuwa machinga Mwanza mwisho ni mwezi wa sita maana serikali ina mpango wa kuanza kupanga mji inavyotaka.
Tafadhari mwenye uelewa zaidi atuambie kuthibitisha.
Wa sukumaland
Kuna hatua ambayo watu wengi ni lazima tuipitie kwa namna moja au nyingine katika maisha yetu ya hapa duniani.
Hatua hii huonekana mbele ya jamii ni kama hatua yenye furaha sana na upendo pamoja na kujaliana katika hali zote. Lakini zaidi imekuwa ni hatua ya watu kuendelea kimaisha kwa maana ya...
Za jioni wadau wa hapa.
Leo nimemsindikiza rafiki yangu kuja kujitambulisha kwa mara ya kwanza. Kwa lengo la kutaka kuoa. Hivyo kwa vile tulikuwa wachache na mimi huwa sipendi kuvua viatu mara kwa mara.
Tulipofika mlangoni nikaona niulize swali la kichokozi kwa mwenyeji wetu aliyetupokea...
Hodi hapa jamii forum. Ikiwa bado tuna siku nne toka mwaka 2019 uanze. Kwa sehemu yako wewe ukiangalia mipango na mawazo yako, unauona ukiwa na matokeo gani kwako hadi uishe.
Mfano unaweza ona kabisa mwaka huu kwako unaweza kuwa na neema au balaa au kawaida kulingana na mipango na matarajio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.