Sitashangaa muda mfupi ujao kuona wangombea wa upinzani kupingana na maamuzi ya kamati kuu zao

na wewe

JF-Expert Member
Jan 4, 2019
231
397
Kuna watu wanaamini siasa ni mchezo mchafu,lakini pia wakati huo huo kuna watu wanaamini siasa ni sayansi ya hali ya juu sana..maana pale unapotumia Maneno tu ili mtu akuelewe na afanye maamuzi ya kuacha kazi zote siku hiyo ili akupigie wewe kura na huku anajua kabisa yeye hata pata chochote kwenye mafaniko yako huko mjengoni.. Hapo ndio inathibitika kuwa siasa ni sayansi ya hali ya juu baada ya uchawi. Mshana Jr
Niende kwenye mada.

Kwa sababu ya hali hii ya baadhi ya vyama vya upinzani kujitoa kwenye chaguzi za serikali ya mtaa, naamini Kwa asilimia kubwa kuwa inawezekana kabisa baada ya mda mfupi baadhi ya waliokuwa wagombea kuwabadilikia wale tunaowaita wakubwa na wenye maamuzi ya mwisho ya chama kuwa, maamuzi yao sio sahihi.na hii hatua itaendana na watu kurudi chama cha C.C.M au kujiunga na C.C.M Kwa kasi ya ajabu huku wakituhumu C.C.M iko sahihi kuliko vyama vyao.

Lakini wakati huo huo wengine hawatatoka chamani ila wataunga juhudi wakiwa ndani ya vyama vyao bila kuhama Ikubukwe kuwa mchezo wa siasa ni mchezo kutafuta hisia na huruma Kwa wananchi wakati huo huo mkimchafua mwenzako na kuonesha wewe ndio bora.hivyo basi naamini nguvu iliyotumika kushawishi watu kuunga juhudi tena Kwa level ya wabunge ndio hivyo itatumika kufanya hayo niliyoyaelezea hapo juu
 
CCM mawazo yenu ni mafupi kishenzi, mnateka watu mnawarecord waseme hawayatambui maamuzi ya Kamati zao Kuu - huu mchezo ni sawa na ule wa kijana wa miaka 15 kujichezea chezea mwenyewe hadi kutoa mbegu kitandani.
 
Sasa hivi wananchi, ndiyo wenye maamuzi

Mwanasiasa atakaye Hama, kukengeuka au vyovyote iwavyo niyeye na demokrasia yake.

Wananchi hatutafuata wapumbavu na wanaohongwa kwa njaa zao

Sisi tutamfata mwenye sifa za kudai mambo ya msingi
1. Tume huru ya uchaguzi
2. Katiba mpya
3. Vyama vyote vya siasa kupewa haki sawa
 
Kuna watu wanaamini siasa ni mchezo mchafu,lakini pia wakati huo huo kuna watu wanaamini siasa ni sayansi ya hali ya juu sana..maana pale unapotumia Maneno tu ili mtu akuelewe na afanye maamuzi ya kuacha kazi zote siku hiyo ili akupigie wewe kura na huku anajua kabisa yeye hata pata chochote kwenye mafaniko yako huko mjengoni.. Hapo ndio inathibitika kuwa siasa ni sayansi ya hali ya juu baada ya uchawi. Mshana Jr
Niende kwenye mada.

Kwa sababu ya hali hii ya baadhi ya vyama vya upinzani kujitoa kwenye chaguzi za serikali ya mtaa, naamini Kwa asilimia kubwa kuwa inawezekana kabisa baada ya mda mfupi baadhi ya waliokuwa wagombea kuwabadilikia wale tunaowaita wakubwa na wenye maamuzi ya mwisho ya chama kuwa, maamuzi yao sio sahihi.na hii hatua itaendana na watu kurudi chama cha C.C.M au kujiunga na C.C.M Kwa kasi ya ajabu huku wakituhumu C.C.M iko sahihi kuliko vyama vyao.

Lakini wakati huo huo wengine hawatatoka chamani ila wataunga juhudi wakiwa ndani ya vyama vyao bila kuhama Ikubukwe kuwa mchezo wa siasa ni mchezo kutafuta hisia na huruma Kwa wananchi wakati huo huo mkimchafua mwenzako na kuonesha wewe ndio bora.hivyo basi naamini nguvu iliyotumika kushawishi watu kuunga juhudi tena Kwa level ya wabunge ndio hivyo itatumika kufanya hayo niliyoyaelezea hapo juu
Vyama vya upinzani fukuzeni wote watakaogombea wakati vyama vimejitoa
 
Back
Top Bottom