Huu uongo unakusaidia nini? Tangu saa 05:00hrs mvua inapiga. Route zote mahudhurio ni hafifu, na bado kuna dalili za mvua kunyesha muda wowote. Hivi ujaze watu usiweke picha?
Hoja yangu kwenye hili, tunapoimarisha Jumuiya ya Africa mashariki, haya mambo yakomeshwe. Free movement of goods, service and people ziachiwe. Kenya sasa ni Visa free Nation. Nchi wanachama zijifunze kwa Kenya, ziandikishe kwa wingi passport ili watu wayasake maisha popote yalipo. Huu usingizi...
Haya mambo ya uraia yanafikirisha sana.
Kwanza watu hawataki kujifunza historia ya kweli.
Pili historia ya kweli inapotoshwa na hata inayojulikana haizingatiwi sababu ya wivu na chuki dhidi ya watu wengine.
Kuhusu historia ya kweli mambo mawili ya kuzingatia. Kabla ya 1884 na 1885, hii nchi...
Unayesema na kuamini Israel ni taifa la Mungu hujui maandiko. Ndo wale bendera fuata upepo.
Hapo mwanzo hapakuwa na Israel. Kulikuwa na mataifa mengine lkn Israel haikuwepo.
Israel inaanza kunikia baada ya Ibrahim kutokewa na Mungu na kupewa ahadi ya kupewa nchi na uzao wake kuzidi sana...
Mwaposa ni nabii wa uongo
Mwamposa ni mshirikina
Mwamposa ni mpenda fedha
Mwamposa ni mwizi wa fedha za watu
Mwamposa ni mchafuzi wa kazi za Mungu aliye hai
Mwamposa hana tofauti na waganga wa kienyeji
Mwamposa mchumia tumbo.
Soma 1kor 1:10-13
Azam ni brand ndogo. Hata ukichukua wachezaji wote wa simba na Yanga ukawapa azam, bado hasatoboi. Lkn ukichukua wachezaji toka azam wakaja yanga au Simba wanafanya vizuri.
Hii ni uthibitisho kuwa wachezaji hubadilishwa na brand ya timu
Sent from my TECNO PR651E using JamiiForums mobile app
Usitumie nguvu kubwa sana kwa issue inayohusu ndoa. Hivi karibuni mwalimu wangu wa law of evidence amekuwa akitupitisha kwa uchache kuhusu sheria ya ndoa. Ina mambo mazito.
1. Ndoa inayosherehekewa ki-kristo lazima iwe na sharti ya mke mmoja tu. Ili kutengua hili, ni kwenda mahakamani ukiwa na...
Itapata thamani, kumbuka wana wachezaji wazuri waliofanya makubwa kuliko tanzania. Ni very determined sana kwenye michezo.
Pia kwenye msimamo wako juu yetu pale 105 japo ligi yao bado sana ukilinganisha na yetu
Kikosi cha timu ya taifa ya kenya kina thamani ya €17mil wkt Tanzania €5milion.
Azam Media na Shirikisho la Soka Kenya waingia mkataba wa haki ya matangazo kuonesha ligi ya Kenya wenye thamani ya Shilingi za Tanzania Bilioni 23, kwa muda wa miaka saba.
Hii ni hatua njema kwa kukuza ligi za ukanda wetu. Wakenya toeni support kwa Azam media, mtafurahia sana.
Viva Azam.
Viva...
Wabunge wa kupelekewa hiyo mikataba ndo akina Ndiyoooooo? Kifupi hakuna hoja itapita ndani ya bunge iliyoasisiwa na ccm isiungwe mkono. Wataunga mkono hoja.
Wale wanawaza hela tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.