Azam Media yapata haki za matangazo ya ligi kuu Kenya kwa Mkataba wa Miaka 7 wenye thamani ya Tsh. Bilioni 23

View attachment 2734403

Azam Media na Shirikisho la Soka Kenya waingia mkataba wa haki ya matangazo kuonesha ligi ya Kenya wenye thamani ya Shilingi za Tanzania Bilioni 23, kwa muda wa miaka saba.

Hii ni hatua njema kwa kukuza ligi za ukanda wetu. Wakenya toeni support kwa Azam media, mtafurahia sana.

Viva Azam.
Viva Tanzania.
Viva East Africa.

===

Pia soma - Hongera Azam kwa kuanza kuonesha Ligi ya Kenya mtafika mbali. Commentator awe na lafudhi yao kama DJ Afro
Bakharesa kajichanganya ...wa kenya hawaipendi ligi yao , ila nampo geza kwa kuwavimbia wa shenzi hao wa 254 wana dharau
 
Kenya na Zambia wana vipaji vingi ila ligi zao hazina ubora na zinanuka umaskini wa kutisha. Mfano Zambia wana vipaji vya kutisha ila ligo yao ya ndani ni ya kimaskini kupitiliza.
 
HAO WAKENYA WANATUDHARAU...LEO MNAENDA KUWATANGAZA ILI WAONEKANE...!!!....BAADA YA MIAKA MIWILI WAZEE WA FURSA WATASEMA LIGI YAO BORA.

AZAM ONESHENI ILI MPATE MPUNGA ILA MJUE ALALAE USIMUAMSHE UKIMUAMSHA............!!
 
Azam akikaza buti na kuwekeza kwenye camera bora na matecnichian wazuri atampita DStv

Azam wanakimbilia kuongeza biashara huku wanasahau kuongeza ubora wa matangazo yao.

Wasilete tamaa zao za kushika kila biashara, huku wakitupatia matangazo ya hovyo.
 
HAO WAKENYA WANATUDHARAU...LEO MNAENDA KUWATANGAZA ILI WAONEKANE...!!!....BAADA YA MIAKA MIWILI WAZEE WA FURSA WATASEMA LIGI YAO BORA.

AZAM ONESHENI ILI MPATE MPUNGA ILA MJUE ALALAE USIMUAMSHE UKIMUAMSHA............!!
Akili ya Mfanyabiashara haiwazi unavyowaza. Kupitia unazoita dharau mwenzako ndio anaenda kutengeneza pesa.
 
Azam wanakimbilia kuongeza biashara huku wanasahau kuongeza ubora wa matangazo yao.

Wasilete tamaa zao za kushika kila biashara, huku wakitupatia matangazo ya hovyo.
Mkuu unajua ubora wa Matangazo ukiongezeka na bei za vifurushi zinaongezeka?

Je, tuko tayari kulipia bei za DSTV?
 
Back
Top Bottom