mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,877
- 106,138
hamna kitu pale ,amekuwa punching bag kila mtu anajibondea tu.Wilder vp tena home boy
Ova
Chief huyo mwan ananiambia yeye kila sku yupo lindo bank kwa hio kwa mwez anazikamat lak 3 za lindo ya bank na San yupo mabank ya mbagal huko kituo chake Cha kazJiulize idadi ya polisi hapa nchini ni kiasi gani nani wangapi wanapata fursa za kulinda mabenki na taasisi nyingine zinazotoa posho na marupurupu?
Kuna askari wengi huwa wanabaki vituoni kama back up na kukaa pale kaunta kusubiria watuhumiwa ili wawapokee tu, hawa hawana cha posho wala marupurupu.
Ni askari wachache sana wanaofaidika na posho, rushwa n.k na hao ni wapelelezi wa kesi, wale wanaozunguka kama doria na wale wa barrier . A
Askari polisi anayeachwa kwa ajili ya kulinda kituo bila mshahara hawezi toboa.
Polisi wa cheo cha chini kabisa anapata pensheni ya milioni 17 kwa mujibu wa kikokotoo.Plus pension 12M
kwa hio chief polis wakiwa ktk lindo la bank omba omba sioWaambie wakutoe hapo kwenye lindo la benki, hamna hela hapo zaidi ya kutusumbua watumiaji wa ATM.
Nenda doria za usiku ndio kuna hela....
Ndio hivo mkuu maan huyo mwana ananisifia sana tu kuwa wapo vizur na ndio yupo lindo bank na nikamwambia Mbon baadh ya askari wanalalamika hata ktk magroup Yao ya whatsup ananiambia hamna hiko kitu wanenjoy tu mshahar lak 6 posho lak 3 kuna ya vinywaj kuna posho ya bank anajikuta yupo mbaliIPO hivi wengi wanaoponda kazi za serikali wanatakwimu za mishahara ya Miaka ya nyuma sana saivi angalau ipo
Chief lindo kwa siku 40000 mbon kuzur sana hukoKuna mwenye swali hapo
Hapo JW three star anakunja ngapi kwa mweziKuna mwenye swali hapo
Nasikia lindo per day n 10,000/=
Nimeona dsm lindo nying za ma banks wanafanya SUMA JKT.
...Kujua Utamu wa Ngoma, Ingia Ucheze !! ...Kuna mwana ni Askari constable ila ni Kidato cha 6 ila ananiambia huko kunalipa sana kwa sababu yeye yupo kwenye Malindo ya bank kila siku na anaingiza chochote kuliko hata uhamiaij
Anasem mshahara upo vizur kuna maposho kede kede na yanalipwa kwa wakati. Yeye anasem ni kidato cha 6 ila kwa mwez anaingiza Milioni hivi na mwakani huenda ashapig hatua
Anasema watu wanaiponda Polisi kumbe hawaijui kiundani ukiangalia yeye ni mtu wa Malindo ya bank tu.
Hivi ni kweli au ananisifia tu?
Ndio chief na huyo mwana aliwah kuniambia kua lindo ni 10,000 ispokua bank ya nmb ni 20,000 sasa yy huyo kila sku Kaz yake ni lindo tu anasem inamuongezea chochot mbagala ni kulinda Malindo ya bank tu itakuaNasikia lindo per day n 10,000/=
Sasa mtu kazi yake inamfanya aishi ulitaka aidharau?Chai kivip chief naon amenisifia balaa na yy ni polisi
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
So hivo chief ila anasem inalipa San tofaut na watu wanavoiponda na kuonekan polis ni watu wenye stress na njaa sanaSasa mtu kazi yake inamfanya aishi ulitaka aidharau?