Uonevu hukumu ya Mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dkt. Likwelile

Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.

Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.

View attachment 2758355

Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.

Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.

View attachment 2758356

Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.

Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.

Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.

Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.

Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).

View attachment 2758357

Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.

Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.

Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.

Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.


Ndoa is active before a legal divorce! Sasa sijui wewe ni msomi au broker wa wasomi.... Au kishoka wa wasomi.....
 
Huyu vick Kamata aliwahi kupewa ubunge enzi ya mkwere ; hivi bado ni mbunge?
kapewa hadi ajira siku izi namuona anafanya kazi TAWA na manyota nyota yake bado anakula hela za serikali, ni mkubwa huko TAWA nawaza sijui aliongiaje wakati serikalini ajira mwisho miaka 45, bado anakula mema ya nchi sasa analilia miradhi za nn wakati mshahara wake zaidi ya milion tatu
 
Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.

Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.

View attachment 2758355

Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.

Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.

View attachment 2758356

Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.

Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.

Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.

Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.

Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).

View attachment 2758357

Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.

Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.

Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.

Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
Nilifikir utatoa ushahidi wa ndoa Yao kumbe Umeandika hadithi tu.

Unayemtetea ameshindwa kuonyesha cheti halali Cha ndoa yake.
 
Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.

Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.

View attachment 2758355

Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.

Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.

View attachment 2758356

Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.

Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.

Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.

Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.

Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).

View attachment 2758357

Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.

Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.

Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.

Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.


Mashirika yamsaidie kugeuza hukumu ya mahakama au yakate rufaa? Kwa sheria ipi? Sio kuwa hayo mashirika hayaoni au hayasikii kuhusu hukumu hii, bali hayaoni uwezekano wa Vicky kushinda hata akikata rufaa. Jackline na Mengi ndio case kama ya Vicky na Dr. Likwelile.

Kama huna ndoa, huna wosia halali na sio fake, wala hati yoyote ya miradhi toka kwa marehemu, utapewaje mali? Kuishi na mtu tu haikupi uhalali wa kuridhishwa mali, sheria haiko hivyo. Kumbuka Marehemu alikuwa na ndoa na hakufunga ndoa nyingine tena.
 
Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.

Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.

View attachment 2758355

Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.

Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.

View attachment 2758356

Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.

Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.

Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.

Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.

Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).

View attachment 2758357

Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.

Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.

Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.

Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
For Gods sake, kwani huyo kamata,Hana Mali zake?Mali, za, marehemu, zibaki kwa watoto wake tu, hata kama wapo wa nje ya ndoa, hii kuruhusu hawa gold diggers walithi Mali, sio sawa kabisa,
Hukuolewa na Mali, ulimpa moyo,uliyempa moyo, kafa,chukua moyo wako, lala mbele,
 
Endapo hakutaka kumpa talaka mke wa kwanza, basi kifo kilipompata 2020 ndipo angemwoa Vicky. Ndivyo zilivyo kisheria ndoa za kikristo za mke mmoja tu.

Makosa ya Vicky naye, pengine kwa kutokujua, ni kutomdai Dkt Likwelile cheti cha talaka cha mke wa kwanza kabla ya kuoana naye 2016. Kwa umbumbumbu huo wa wasomi wetu katika masuala madogo ya kisheria, inatia shaka endapo wanamudu masuala makubwa ya kisheria kimataifa ikiwemo mikataba yenye maslahi kwa taifa.
Mkuu unamaanisha IGA ya bandari?
 
Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.

Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.

View attachment 2758355

Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.

Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.

View attachment 2758356

Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.

Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.

Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.

Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.

Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).

View attachment 2758357

Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.

Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.

Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.

Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
Usitumie nguvu kubwa sana kwa issue inayohusu ndoa. Hivi karibuni mwalimu wangu wa law of evidence amekuwa akitupitisha kwa uchache kuhusu sheria ya ndoa. Ina mambo mazito.

1. Ndoa inayosherehekewa ki-kristo lazima iwe na sharti ya mke mmoja tu. Ili kutengua hili, ni kwenda mahakamani ukiwa na mke wa ndoa moja, muiambie mahakama mmeamua kubadili ndoa mliyosherehekea kikiristo kuwa ndoa wa mme mmoja wake zaidi ya mmoja.

Kama Dr alitaka kuongeza mke, ilifaa atengue kwanza kuacha ndoa ya mke mmoja tena akiwa na mke wake wa ndoa ya kwanza.

Iwapo amefariki mwanandoa, lzm aliyebaki aende kutoa taarifa za mabadiliko hayo, kushindwa kufanya hivyo mwanamke atakaye ishi naye ni hawara tu, hawezi itwa mke kwa mujibu wa sheria.

2. Ndoa zinazisherehekewa kiislam, zinatamka ni mme mmoja wake wengi. Hivyo angekuwa na haki.

3. Ndoa zinazosherehekewa kimila(za kwa mkuu wa wilaya/bomani, wanandoa mnachagua iwe ya wake wengi au mmoja. Kubadili hadi mwende mahakamani.

Vicky ni hawara mbele ya sheria na hawara harithi mali

Sent from my TECNO PR651E using JamiiForums mobile app
 
Kisheria ndoa ya kwanza ingefutika endapo kungetokea kifo cha mke wa kwanza au angetalikiana naye rasmi kabla ya kumwoa Vicky. Alipokuwa anamwoa Vicky 2016 mkewe wa kwanza alikuwa bado yuko hai na alikuwa hajatalikiana naye kisheria. Hakuwa na cheti cha talaka kinachofuta cheti cha ndoa ya kwanza. Na kwa mujibu wa Vicky, pia alikuwa na masuria (michepuko) wengi.

Haya ndio maneno sahihi !! PERIOD!
 
PURE AFRICAN MAN...tunatumia kirungu ipasavyo....sheria za ndoa kuna haja ya kuzifanyia marekebisho kwa ajili ya mjane na watoto...haijalishi ni wa ndoa ama la...kimsingi ni watoto na wanahaki kama watoto wengine...marehemu angekuwepo asingewatupa asilani(labda kama amepigwa kidude)
 
Hizo sheria ni kandamizi kwa wapendanao.... waliishi wote kwa miaka mingi hadi umauti unamkuta mmoja iweje kwenye mali iwe kizungumkuti, wampatie fungu lake.
Unayosema ni kweli.
Lakini hili liwe funzo kwa wanaooa ama kuolewa mara ya pili bila kuvunja ndoa ya kwanza. Na wanaoingia kwenye ndoa na mtu ambaye unatambua kabisa kwamba hapo awali alikuwa na ndoa yake halali.

Vicky alitakiwa kuwa mjanja, angevuna pesa za mume wake lakini mali alizomkuta nazo asingekubali kuzigusa.
 
Unayosema ni kweli.
Lakini hili liwe funzo kwa wanaooa ama kuolewa mara ya pili bila kuvunja ndoa ya kwanza. Na wanaoingia kwenye ndoa na mtu ambaye unatambua kabisa kwamba hapo awali alikuwa na ndoa yake halali.

Vicky alitakiwa kuwa mjanja, angevuna pesa za mume wake lakini mali alizomkuta nazo asingekubali kuzigusa.
Watajijua wenyewe wasituchoshe sie, mjane mwenyewe jeuri anamsema hadi marehemu kwenye mitandao, mjane kigego
 
Unayosema ni kweli.
Lakini hili liwe funzo kwa wanaooa ama kuolewa mara ya pili bila kuvunja ndoa ya kwanza. Na wanaoingia kwenye ndoa na mtu ambaye unatambua kabisa kwamba hapo awali alikuwa na ndoa yake halali.

Vicky alitakiwa kuwa mjanja, angevuna pesa za mume wake lakini mali alizomkuta nazo asingekubali kuzigusa.
Sema hata hivyo hawajakaa muda kivilee ..ila ningekua vicky nisingelilia mali...maana bado ana uwezo na mali anazo
 
Back
Top Bottom