Simba na Yanga ndiyo miamba ya Online Engagements Afrika nzima

Kilimbatz

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
4,334
5,838
Ukiangalia ukurasa rasimi wa X wa CAF Champions League tangu kuingia kwa makundi utajionea kitu Cha kushangaza na kufurahisha pia

Tangu admin wa ukurasa ule alipoanza kutoa kadi za pongezi Kwa miamba iliyoingia CL ni kadi mbili tu ambazo zimepata engagements kubwa sana

Na hapa namanisha likes,retweets na comments

Mpaka muda tunapokwenda mitamboni,ubao unasomeka hivi kwa upande wa likes kwa timu zote kumi na sita:
Yanga ana likes 7292, Simba 4577, Mamelodi 2885, TP Mazembe 2719, Jwaneng 1830, Medeama 1824, Al Ahyl 1746, Pyramid 1711, Wydad 1311, Asec Mimosas 1175, Al Hilal 1082, ESS Tunis 982, Atletico Petroleos 869, ESS Tunisia 800, CR Belouizdad 730 na aliyefunga orodha ni chama langu toka Mauritania FC Nouadhibou 448

Kimahesabu hapo admin wa CAF atapata maokoto mengi kupitia kuziposti habari za Simba na. Yanga hivyo hiyo pia ni njia nzuri kwa hivi vilabu viwili kuajulikana zaidi Kwa kuwa vitakuwa vinaandikwa zaidi kwani vinauchamgamsha sana ule ukurasa

Naomba Mungu Simba na Yanga zifike hata nusu fainali,hii itatupa muda mwingi wakujibrand

For more information Unaweza cheki viambata hapa chini.

Screenshot_20231003-173116~2.png
Screenshot_20231003-173037~2.png
 
Mkuu soka la bongo limekua kutokana na uwekezaji, najiuliza Azama Fc anafeli wapi!!??
Pia wabongo wanapenda sana mpira.
Azam ni brand ndogo. Hata ukichukua wachezaji wote wa simba na Yanga ukawapa azam, bado hasatoboi. Lkn ukichukua wachezaji toka azam wakaja yanga au Simba wanafanya vizuri.

Hii ni uthibitisho kuwa wachezaji hubadilishwa na brand ya timu

Sent from my TECNO PR651E using JamiiForums mobile app
 
Ukiangalia ukurasa rasimi wa X wa CAF Champions League tangu kuingia Kwa makundi utajionea kitu Cha kushangaza na kufurahisha pia

Tangu admin wa ukurasa ule alipoanza kutoa kadi za pongezi Kwa miamba iliyoingia CL,ni kadi mbili tu ambazo zimepata engagements kubwa sana

Na hapa namanisha likes,retweets na comments

Mpaka muda tunapokwenda mitamboni,unao unasomeka hivi kwa upande wa likes kwa timu zote kumi na sita:
Yanga ana likes 7292,Simba 4577,Mamelodi 2885,TP Mazembe 2719,Jwaneng 1830,Medeama 1824,Al Ahyl 1746,Pyramid 1711,Wydad 1311,Asec Mimosas 1175,Al Hilal 1082,ESS Tunis 982,Atletico Petroleos 869,ESS Tunisia 800,CR Belouizdad 730 na aliyefunga orodha ni chama langu toka Mauritania FC Nouadhibou 448

Kimahesabu hapo admin wa CAF atapata maokoto mengi kupitia kuziposti habari za Simba na. Yanga hivyo hiyo pia ni njia nzuri kwa hivi vilabu viwili kuajulikana zaidi Kwa kuwa vitakuwa vinaandikwa zaidi kwani vinauchamgamsha sana ule ukurasa

Naomba Mungu Simba na Yanga zifike hata nusu fainali,hii itatupa muda mwingi wakujibrand

For more information Unaweza cheki viambata hapa chiniView attachment 2770698View attachment 2770699
Mzee baba hapo bado u
hujaingia kwenye Page ya CAF ya Facebook ni hatari
 
Mizizi iliyowekwa na simba na yanga kwa soka la bongo ni kitu ambacho azam itachukua muda mrefu kufikia level hiyo na kwa wakati huo
Mkuu soka la bongo limekua kutokana na uwekezaji, najiuliza Azama Fc anafeli wapi!!??
Pia wabongo wanapenda sana mpira.
 
Watasema Wifi na Hotspots za kwa mashemeji.
Aahaaaaa,wabongo tupo vizuri mitandaoni,ilo like wazi pamoja na ugumu wetu wa maisha hapa bongo

We jaribu kupitia ukurasa wa Shakhtar Donetsk utacheka upasuke aahaaaaa

Wabongo washamwambia admin kwamba kama anataka apate engagements kubwa basi Kila post awepo Mtanzania Miroshi

Ahaaaaaa no Miroshi no likes Wala retweets

Tena post zote wakizokomenti wabongo zimejaaaa

Ni noma aiseee
 
Aahaaaaa,wabongo tupo vizuri mitandaoni,ilo like wazi pamoja na ugumu wetu wa maisha hapa bongo

We jaribu kupitia ukurasa wa Shakhtar Donetsk utacheka upasuke aahaaaaa

Wabongo washamwambia admin kwamba kama anataka apate engagements kubwa basi Kila post awepo Mtanzania Miroshi

Ahaaaaaa no Miroshi no likes Wala retweets

Tena post zote wakizokomenti wabongo zimejaaaa

Ni noma aiseee
Sure. Akiwekwa Nova balaa.
 
Back
Top Bottom