Nimeanza na kichwa cha habari kwa kuuliza je katika huu ulimwengu wa sasa kuna mtu anaweza acha kweli pesa au kazi inayo muingizia pesa na kufuata passion?
Katika miaka ya 2007s kipindi nipo A level kuna jamaa yangu alishakuwa na ABC za computer application weekend tukawa tuna drop(watu wa...
Habari wana jf, Mimi nina skills za ku repair simu na computer na 80 vifaa vya ufundi ninavyo ila shida ni capital ya kupanga fremu .
Kama unaweza kuwa interested nifate PM tuzungumze.
Location yaweza kuwa ni dar au kibaha.
Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
Habari ya muda huu wanajukwaa,
Nina desktop yangu sasa ni kama mwezi hivi sijaitumia leo nimejaribu kuiwasha imegoma.
Nimesafisha motherboard ila haijawaka na fan haitaki kuspin.
Mwenye possible solution anisaidie.
Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
Habari wana JF nauza eneo lipo michese dodoma KM 6 kutoka soko la majengo miundo mbinu iko mizuri.
ukubwa wa eneo ni sqm 2162 au tulio zoea hatua ni miguu 57 kwa 52.
bei milioni 4
karibu PM wanunuzi.
Heshima kwenu wana jamvi.
Nikili mimi ni miongoni mwa watu ambao naishi katika jimbo la chilonwa Dodoma jimbo hili kimaendeleo hali siyo poa na mbunge wetu yupo tu na hajawahi fika kijijini kwetu kutatua kero zetu.
Baadaye nikabidi nianze kutafuta clips za michango yake bungeni huenda labda...
Habari zenu wakuu!
Kuna siku nilipata wazo la kuongeza mtaji katika biashara yangu ikanibidi niende katika microfinance company moja hivi.
Baada ya kufika nikawaelezea kuwa nahitaji mkopo, ila sasa nilikuja kuchoka kwenye terms zao yani marejesho lazima yafanyike kila siku ukichukua matharani...
Habari ya wakati wana Tech baada ya kupitia coursera, edx na free code camp nimekuja na portifolio yangu nimeitengeneza kupitia code pen na kutumia bootstrap niki view kwenye PC UX/UI zinakuwa vizuri lakini niki view kwa kutumia simu kuna contents nyingi sana hazionekani naomba mwenye uelewa...
habari ya wakati wana jamvi? kwa wale mliokuwa mnafuatilia somo langu nimerudi tena baada ya kimya kwa muda. Pitia somo na uache maoni yako hapa.
solution of learn trigonometry step by step exercise 01. - mjasitech
habati za wakati wanajamvi? ama baada ya salamu napenda ku share na wana JF wenzangu materials kwa combinations tajwa hapo juu waweza pitia hayo materials by the time being nimeanza na kipart cha trigonometry nitakuwa natoa notes baada ya wiki moja. Kwa kila part ya notes nitakuwa natoa...
Husika na kichwa cha habari hapo juu, nilikuwa na google adsence account youtube channel , baadaye nikapata wazo la ku upgrade wakaniambia lazima niwe na top domain nikanunua godaddy kisha nikafungua blog yangu na kuforward domain.
Sikuishia hapo kwa sababu madhumuni yangu ilikuwa nikupata...
habari yenu wana jamvi? naomba mwenye info ya kuhusu kozi zinazotolewa Udsm kwa njia ya mtandao je kila kitu hufanyika online kuanzia tests mpaka UE au kipindi cha mitihani humlazimu mwanafunzi aende physically kufanya mtihani ?
Habari ya weekend nimetengeneza playlist ya web development kwa html waweza zicheki na kutoa ushauri wako. Samahani niliweka link amabayo ilikuwa haifanyi kazi ila sasa iko poa
bonyeza hapa WEB DEVELOPMENT BASICS KWA KISWAHILI - YouTube
wakuu habari za wakati! naomba kupewa msaada nataka kulink account yangu ya CRDB na paypal sasa nimekwama kwenye routing number, debit card na bank account msaada wenu ni muhimu sana.
Habari zenu wana jamvi mimi ninauhitaji wa boda boda ambayo ni used kwa ajili ya mishe mishe zangu, kama uko dodoma na unaiuza au una jamaa anayeiuza boda boda tafadhali ni PM au weka specifications zote hapa na bei usisahau.
habari za wakati mana tech naomba msaada kwenye hizi markup chini nimetengeneza navagation links kwa kutumia bootstrap ambayo nime idownload ili niwe narun locally kwenye PC yangu sasa shida inakuja ninapo resize page inakuja icon bar vizuri ila sasa niki click kwenye hiyo icon bar sipati...
habari ya boxing day wakuu?
Nimeleta uzi kwenu ili tujadili na kutoa mawazo yetu ambayo yatatusaidia kuondokana na unyonge uliopo katika sector ya IT.
Kumekuwa na maneno mengi sana kuhusu nani yupo juu kitechnolojia kati ya wakenya na watanzania kila mtu amekuwa akisifia nchi yake ipo juu zaidi...
wanabodi habri za wakati! Nomba mwenye uelewa na programs ambazo zinarekodi videos katika Desktop nimejaribu kutafuta GOOGLE nimepata moja inaitwa KAZAMA shida ya hii ni kwamba inarekodi ila sauti haitoki. Natumia LINUX MINT 17.
Husika na kichwa cha habari nauza tecno c8 nimenunua mwezi wa 6 IPO katika hali nzuri nauza ili nitatue shida tu.
Nipo Dodoma mjini ni pm
Bei 220,000/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.