Husika na somo hapo juu nahitaji kiwanja Dodoma ambacho hakipo kwenye mkono wa CDA maeneo ya Nkuhungu,au mipango kwa chini wanaita Mbwanga ila kisiwe na mgogoro wa aina yeyote na kiwe kinalipiwa manispaa eneo linatakiwa liwe lenye miundo mbinu ya maji na umeme ukubwa kiwe na square mita...
Ebu mnikosoe uelewa wangu kuhusu muundo wa serikali. Muundo wa serikali mbili au tatu nauona hauna mashiko kama tutashindwa kuzielezea hizo serikali zinavyotakiwa kuwa, ikiwa pamoja na kupunguza matumizi yake. Kwa maoni yangu tuwe na muungano wa mamlaka ya Zanzibar na mamlaka ya Tanganyika...
Kwa vyuo vya serikali huo ni mshahara wa assistant Lecturer ambayo ni almost PUTS 2 Norch ya pili sasa hiyo Mzumbe ipi unayozungumzia unapozungumzia mshahara usiweke na marupurupu ambayo hayako constant kati ya chuoa chuo.Tutorial vyuo vya serikali anaanza na PUTS 1 first notch ambayo ni...
Kwani wazee maoni yamekusanywa Rorya tu maoni yamekusanywa Tanzania nzima kama Rorya hawakusema chochote kuhusu muundo wa muungano wengine wametoa kama mmemsikiliza vizuri Warioba ofisi zote za serikali zimetoa maoni yanayopelekea serikali tatu kama ofisi ya waziri mkuu,bunge na ofisi ya waziri...
Kwa kweli kijana nakuunga mkono huyu mheshimiwa kama hajamuelewa huyu mzee maana hata kama darasani ulikuwa empty mzee kakata mzizi wa fitina maana uwasilishaji wake umeenda shule kishenzi mi mwenyewe nimemkubali kabisa.Good presentation
Wadau mimi naishi Iringa mjini nahitaji shamba la kulima mahindi ambalo halipo mbali sana na mji kwa ajili ya msimu ujao wa kilimo kama heka tano hivi.Mdau yeyote mwenye ufahamu tujuzane maana mambo ya kilimo kwanza.
Ndugu nakuunga mkono asilimia mia nabii anapewa kazi na Mungu na haitatokea kuwa nabii anapopewa kazi na Mungu mtapewa taarifa.Hata Yesu alikataliwa kama mnakumbuka mpaka ikafikia hatua ya kumuua walipomuua ndiyo wakatambua kuwa alikuwa nabii kwa hiyo wanadamu kumbukeni Mungu anaweza mtumia mtu...
Baada ya kutoka Mazengo Mkoba alikuwa wizara ya elimu na utamaduni kama kamishina wa elimu Tanzania then akaenda SUA kuwa REGISTRAR ambapo alifariki akiwa pale SUA bad enough baada ya mwaka mke wake nae akafariki pale SUA kuna mtoto wake bi Daktari hospitali ya Mazimbu.
Habari wanajamii forum naomba nipate ABC za huyu nabii kutoka Dar nasikia anafufua wafu waliokufa kwa nguvu za giza na anaponya wagonjwa wa ukimwi.Naomba watu washuhudie humu ili wanjamii forum tujifunze.
Habari wadau wa jamii forum naomba msaada nina mtoto wa kike wa miaka mitano ana tatizo katika mfumo wake wa kupumua na kumeza chakula anapata shida kupumua wakati wa usiku na wakati wa kula huwa anajaza chakula mdomoni anameza kwa shida nilidhani ni athma nilienda kwa daktari kupima akasema...
Pandikizi wewe na si mwanachadema Kinana jangili tu hata mkimsafisha ni sawa na kuzidi kumchafua kwani huyu sehemu zote alizopita katika madaraka kaacha harufu ya choo sasa mnamsafishaje?Siku zake zinahesabika huyu Msomali.
Sorry na wewe ni kati ya wale waliorudia darasa maana magamba mnasifika kwa kurudia madarasa akili zenu zilikwa ndogo kama Nchemba Ahaaaaaaaaaaa Arusha CCM ondoeni mategemeo ya kulipata hilo jimbo
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hapa magamba yatabanduka yenyewe bila msaada wa nyenzo yeyote maaana wanampa umaarufu Lema bila wenyewe kumtambua CCM jimbo la Arusha walisahau maana ni jimbo la upinzani milele alafu huyu mkuu wa mkoa nina shaka na elimu yake kwa nini amuogope Lema alienda pale kama...
Wadau habari za kazi kwa wale wenyeji wa Iringa mjini natafuta nyumba ya kupanga inayojitegemea kwa umeme na maji yenye vyumba vitatu vya kulala kimoja kiwe master,choo cha public,sebule isiwe ndogo sana,dining, jiko na stoo nyumba iwe maeneo yafuatayo Lugalo,Kihesa,Mwachan'ga,Mwang'ingo.Budget...
Haya wadau wale wanaohitaji kuwa wanataaluma
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
VACANCIES
The University of Dar es salaam invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts:
1. (a) Job Title: Professor/ Associate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.