Tatizo katika kumeza na kupumua

MKOBA2011

Senior Member
Jul 12, 2011
142
27
Habari wadau wa jamii forum naomba msaada nina mtoto wa kike wa miaka mitano ana tatizo katika mfumo wake wa kupumua na kumeza chakula anapata shida kupumua wakati wa usiku na wakati wa kula huwa anajaza chakula mdomoni anameza kwa shida nilidhani ni athma nilienda kwa daktari kupima akasema hiyo siyo athma ni croup kwa hiyo wale wataam wa haya mgonjwa naomba msaada wamatibabu yake maana mtoto wangu anapata shida sana na hili tatizo.Nitashukuru kwa msaada wenu.
 
Kaka uliposema group kidogo sijakuelewa ,,,,
Lakini hay ni matatizo ambayo huwapata watu wote wakubwa kwa watoto, na mars nyingi inaweza kuwa ni allegy ambayo either yasababishwa na vyakula , au vitu ambavyo vinamzunguka mtoto namaanisha , nguo anazovaa , nyumba yenye unyevu au manyoya ya wanyama ,, tatizo hili husababisha kujaa kwa nyama kwenye koo pamoja na puani( nasal polyps) na tonsils. Ushauri mpeleke mtoto kwa . Dentist au ENT specialist kwa msaada,.tatizo linatibika usihofu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom