Warioba; Hasira zako usizitumie kuibomoa nchi

kitambiheshima

JF-Expert Member
May 27, 2013
452
116
Wengi wetu tunalikumbuka kundi la G55 na harakati zake wakati ule. Kundi hilo liliongozwa na Njeru Kasaka. Jaji Joseph Sinde Warioba alikuwamo. Lengo la kundi hili lilikuwa kama anavyojaribu kujitetea Warioba kuhusu muungano wa serikali tatu. Kundi hili lilisimamia madai ya serikali tatu lakini Mwalimu Nyerere alisimama kidete kuhakikisha kuwa ujinga kama huo wa kutaka kuvunja Muungano kwa kupitia mlango wa nyuma, haupati ushindi.

Ndugu zangu haishangazi leo hii kumsikia Warioba akiendelea kusimamia hoja ambayo anajua kabisa hata Mwalimu Nyerere aliikataa. Analazimisha Muungano wa serikali tatu wakati anajua kuwa ni wazi atavunja muungano. Ana hasira na kisasi moyoni. Utetezi na hoja zote anazojenga ni uongo mtupu huyu mzee anataka kutuharibia nchi kwakuwa yeye hana cha kupoteza.

Warioba hebu atueleze ni mwananchi gani wa Rorya alipendekeza serikali tatu?. Mi nina orodha ya wachangiaji wote na kile walichokichangia. Hakuna mwananchi yeyote aliyependekeza serikali tatu. Watu wengi walizungumzia maswala ya ardhi, wakuu wa mikoa na wilaya na mawaziri/wabunge. Hayo maoni ya serikali tatu Warioba uliyapata wapi?

Ninachokushauri mzee Warioba tafadhali usituharibie nchi. Tuachie Tanzania yetu. Kama we unaona umezeeka na you are about get no more, leave us with our beautiful Tanzania please. Umri ulionao ni wa mwishoni ji...fie salama mzee. Hasira zako dhidi ya Mwalimu usituletee sisi kwani hazituhusu.
 
Ndugu zangu haishangazi leo hii kumsikia Warioba akiendelea kusimamia hoja ambayo anajua kabisa hata Mwalimu Nyerere aliikataa. Analazimisha Muungano wa serikali tatu wakati anajua kuwa ni wazi atavunja muungano. Ana hasira na kisasi moyoni. Utetezi na hoja zote anazojenga ni uongo mtupu huyu mzee anataka kutuharibia nchi kwakuwa yeye hana cha kupoteza.

.

Hhaha, so linapofika swala la serekali tatu Nyerere anakuwa mungu, Ila likifika swala la Rushwa na Azimio la Arusha Nyerere anakuwa shetani?

MACCM mantabu sana.
 
Kwani wazee maoni yamekusanywa Rorya tu maoni yamekusanywa Tanzania nzima kama Rorya hawakusema chochote kuhusu muundo wa muungano wengine wametoa kama mmemsikiliza vizuri Warioba ofisi zote za serikali zimetoa maoni yanayopelekea serikali tatu kama ofisi ya waziri mkuu,bunge na ofisi ya waziri mkuu mzee mnambebesha mzigo ambao si wake kwa kweli.
 
USIPOTOSHE UMA WE MWEU: Una hakika na unachosema kuwa warioba alikuwa kwenye kundi la G55..mbna mnapenda kumzishia mzee wa watu au umetumwa kwa taarifa yako warioba hakuwepo katika kundi la G55..NO RESEARCH NO RIGHT TO SAY
 
Yeye kawasilisha maoni ya wenye nchi,na wewe kama una maoni ya wananchi tofauti kawasilishe tuthamanishe!,,,Pia kumbuka jambo pekee ambalo kila mwanadamu anauhakika nalo 100% ni kuwapo kwa kifo chake hivyo si ajabu ukajifia wewe kabla ya Warioba!
 
Wengi wetu tunalikumbuka kundi la G55 na harakati zake wakati ule. Kundi hilo liliongozwa na Njeru Kasaka. Jaji Joseph Sinde Warioba alikuwamo. Lengo la kundi hili lilikuwa kama anavyojaribu kujitetea Warioba kuhusu muungano wa serikali tatu. Kundi hili lilisimamia madai ya serikali tatu lakini Mwalimu Nyerere alisimama kidete kuhakikisha kuwa ujinga kama huo wa kutaka kuvunja Muungano kwa kupitia mlango wa nyuma, haupati ushindi.

Ndugu zangu haishangazi leo hii kumsikia Warioba akiendelea kusimamia hoja ambayo anajua kabisa hata Mwalimu Nyerere aliikataa. Analazimisha Muungano wa serikali tatu wakati anajua kuwa ni wazi atavunja muungano. Ana hasira na kisasi moyoni. Utetezi na hoja zote anazojenga ni uongo mtupu huyu mzee anataka kutuharibia nchi kwakuwa yeye hana cha kupoteza.

Warioba hebu atueleze ni mwananchi gani wa Rorya alipendekeza serikali tatu?. Mi nina orodha ya wachangiaji wote na kile walichokichangia. Hakuna mwananchi yeyote aliyependekeza serikali tatu. Watu wengi walizungumzia maswala ya ardhi, wakuu wa mikoa na wilaya na mawaziri/wabunge. Hayo maoni ya serikali tatu Warioba uliyapata wapi?

Ninachokushauri mzee Warioba tafadhali usituharibie nchi. Tuachie Tanzania yetu. Kama we unaona umezeeka na you are about get no more, leave us with our beautiful Tanzania please. Umri ulionao ni wa mwishoni ji...fie salama mzee. Hasira zako dhidi ya Mwalimu usituletee sisi kwani hazituhusu.

Kwanini unakuwa subjective badala ya kuwa objective?
Unaposema una nyaraka zote kuonesha kuwa hakuna mwananchi aliyechangia suala la serikali 3. Unathibitisha kuwa ni muongo,unless kama unaweza kuweka wazi ushahidi wako.
Pia unaposema Mzee Warioba amezeeka na akafie mbali,unathibitisha kukosa busara na hekima. Na ni sawa sawa na kuwatukana wajumbe wote wa tume ile ya katiba na sie wananchi tuliotumia muda wetu kuchangia maoni yetu.
 
kwani muungano ukivunjika wananchi tunapata tabu gani? wengi hatujui maana na faida za muungano.
 
Warioba hebu atueleze ni mwananchi gani wa Rorya alipendekeza serikali tatu?. Mi nina orodha ya wachangiaji wote na kile walichokichangia. Hakuna mwananchi yeyote aliyependekeza serikali tatu. Watu wengi walizungumzia maswala ya ardhi, wakuu wa mikoa na wilaya na mawaziri/wabunge. Hayo maoni ya serikali tatu Warioba uliyapata wapi?

Ninachokushauri mzee Warioba tafadhali usituharibie nchi. Tuachie Tanzania yetu. Kama we unaona umezeeka na you are about get no more, leave us with our beautiful Tanzania please. Umri ulionao ni wa mwishoni ji...fie salama mzee. Hasira zako dhidi ya Mwalimu usituletee sisi kwani hazituhusu.

Vipi orodha ya Mabaraza ya wana CCM siyo!
 
Wengi wetu tunalikumbuka kundi la G55 na harakati zake wakati ule. Kundi hilo liliongozwa na Njeru Kasaka. Jaji Joseph Sinde Warioba alikuwamo. Lengo la kundi hili lilikuwa kama anavyojaribu kujitetea Warioba kuhusu muungano wa serikali tatu. Kundi hili lilisimamia madai ya serikali tatu lakini Mwalimu Nyerere alisimama kidete kuhakikisha kuwa ujinga kama huo wa kutaka kuvunja Muungano kwa kupitia mlango wa nyuma, haupati ushindi.

Ndugu zangu haishangazi leo hii kumsikia Warioba akiendelea kusimamia hoja ambayo anajua kabisa hata Mwalimu Nyerere aliikataa. Analazimisha Muungano wa serikali tatu wakati anajua kuwa ni wazi atavunja muungano. Ana hasira na kisasi moyoni. Utetezi na hoja zote anazojenga ni uongo mtupu huyu mzee anataka kutuharibia nchi kwakuwa yeye hana cha kupoteza.

Warioba hebu atueleze ni mwananchi gani wa Rorya alipendekeza serikali tatu?. Mi nina orodha ya wachangiaji wote na kile walichokichangia. Hakuna mwananchi yeyote aliyependekeza serikali tatu. Watu wengi walizungumzia maswala ya ardhi, wakuu wa mikoa na wilaya na mawaziri/wabunge. Hayo maoni ya serikali tatu Warioba uliyapata wapi?

Ninachokushauri mzee Warioba tafadhali usituharibie nchi. Tuachie Tanzania yetu. Kama we unaona umezeeka na you are about get no more, leave us with our beautiful Tanzania please. Umri ulionao ni wa mwishoni ji...fie salama mzee. Hasira zako dhidi ya Mwalimu usituletee sisi kwani hazituhusu.


mleta mada tunaomba utende haki,yale ni maoni ya wananchi.SIO YA WARIOBA,wao tume wameyaratibu tu.wazanzibari hawataki muungano huu mkuuu!sasa unataka warioba aseme nini?kwanini unalazimisha Zanzibar kiasi cha kuiua Tanganyika.yani Tanganyika ife ili tuwafurahishe watu wachache?acha hizo mkuu au toa hoja sio kumtaja warioba bila hoja.wazanzibari wanataka mkataba!we kwa akili yako unadhani mkataba ni nini kama sio kuvunja muungano?tumia kichwa kufikiri.
 
mleta mada tunaomba utende haki,yale ni maoni ya wananchi.SIO YA WARIOBA,wao tume wameyaratibu tu.wazanzibari hawataki muungano huu mkuuu!sasa unataka warioba aseme nini?kwanini unalazimisha Zanzibar kiasi cha kuiua Tanganyika.yani Tanganyika ife ili tuwafurahishe watu wachache?acha hizo mkuu au toa hoja sio kumtaja warioba bila hoja.wazanzibari wanataka mkataba!we kwa akili yako unadhani mkataba ni nini kama sio kuvunja mkataba?tumia kichwa kufikiri.
Siyo maoni ya wananchi mengi ni yake kama ni wananchi yeye alipaswa kuyaleta kama yalivyo anachokela warioba anakuwaje anayatetea maoni ya wananchi kwani yamekuwa yake mpaka akae kila siku anayatetea kama siyo kupotoka ni nini.
 
Haya bw kitambiheshima naona unadhani kuwa alikuwa Jaji Warioba pekee kwenye tume. Kwani hukumwona jana Jaji Augustino? Vipi kuhusu Salim Ahmed? Hoja hujibiwa kwa hoja sio makelele na mayowe. Ukianza kupiga mayowe ni dalili ya kushindwa.
 
Last edited by a moderator:
Upotoshaji na ujanja ujanja wa Warioba upo hapa:

Kwanza, amedharau maoni ya mabaraza ya katiba ambayo yaliundwa kisheria kufuata sheria ya mabadiliko ya katiba. Mabaraza kama la CCM tulipenedekeza serikali mbili ila hakuweka kwenye rasimu.

Pili, Warioba bila ya aibu amepotosha kuhusu maoni ya baraza la wawakilishi kwa kutafsiri kuwa baraza la wawakilishi linapendekeza serikali tatu. Jambo ambalo si kweli. Usahihi ni kwamba baraza la wawakilishi hawakutoa mapendekezo yoyote kuhusiana na muundo wa Muungano.

Kwa muktadha huo ni wazi kabisa Warioba ana lake jambo ni lazima litakuwa ovu na lenye madhara kwa taifa letu.
 
Back
Top Bottom