kumbe inalipa aisee, 1.8m na chupi ntazivuaHuku Mzumbe ma T.A wanalipwa 1.8m ukitoa makatomakato take home si chini ya 1.2m
Hongera sana......
Huku Mzumbe ma T.A wanalipwa 1.8m ukitoa makatomakato take home si chini ya 1.2m
Hongera sana......
naona unataka kuingiza ule ushindani wako wa kitoto wa vyuo.GPA ya 4.2 umesoma chuo gani Mkuu?
Kwa vyuo vya serikali huo ni mshahara wa assistant Lecturer ambayo ni almost PUTS 2 Norch ya pili sasa hiyo Mzumbe ipi unayozungumzia unapozungumzia mshahara usiweke na marupurupu ambayo hayako constant kati ya chuoa chuo.Tutorial vyuo vya serikali anaanza na PUTS 1 first notch ambayo ni 1,411,000/= ukikatwa katwa unabaki na kama tisa na kitu au tisa kasoro inategemeana.Huku Mzumbe ma T.A wanalipwa 1.8m ukitoa makatomakato take home si chini ya 1.2m
Hongera sana......
Toa pumba zako hapa. Mbona wakati unatuma/sambaza hujatushirikisha? Sasa unakuja hapa eti unamshukuru mungu!! Mungu hapendi ubinafsi na unafiki!
sa mbona wamechoka hivyoHuku Mzumbe ma T.A wanalipwa 1.8m ukitoa makatomakato take home si chini ya 1.2m
Hongera sana......
Kwa vyuo vya serikali huo ni mshahara wa assistant Lecturer ambayo ni almost PUTS 2 Norch ya pili sasa hiyo Mzumbe ipi unayozungumzia unapozungumzia mshahara usiweke na marupurupu ambayo hayako constant kati ya chuoa chuo.Tutorial vyuo vya serikali anaanza na PUTS 1 first notch ambayo ni 1,411,000/= ukikatwa katwa unabaki na kama tisa na kitu au tisa kasoro inategemeana.
Asante mkuu Ricardo kaka. Naelekea Moshi kuanza kazi, nawashukuru wadau, hili jukwaa linasaidia sana. Kikubwa ni kuaamini. Vijana wote ambao mna GPA 3.8 pelekeni vyeti vyenu kwenye mavyuo mtapata kazi kama mimi nilivyovyafanya. Nilituma kila chuo barua na vyeti. Usisubiri watangaze