MKOBA2011
Senior Member
- Jul 12, 2011
- 142
- 27
Wadau habari za kazi kwa wale wenyeji wa Iringa mjini natafuta nyumba ya kupanga inayojitegemea kwa umeme na maji yenye vyumba vitatu vya kulala kimoja kiwe master,choo cha public,sebule isiwe ndogo sana,dining, jiko na stoo nyumba iwe maeneo yafuatayo Lugalo,Kihesa,Mwachan'ga,Mwang'ingo.Budget yangu nyumba isizidi 190,000/= kwa mwezi iwe na mwonekano mzuri ndani na nje. Number yangu ni 0755-520976. Kazi njema